Ili tusipate hasara, Serikali ibadilishe Uwanja wa Ndege Chato 75% uwe wa Kijeshi

Kwa hiyo Kama hakuna Mpango wa Kitaiifa ndio ufanye maamuzi ya kijinga....kujenga uwanja wa ndege mkubwa kijijini na kulazimisha pori liwe na wanyama ...Kama alikuwa anapenda wanyamaa si angetengeneza zoo yake!
Ndio taatizo la kukabidhi madaraka makubwa kwa mshamba na Limbukeni...Ila wanapotokea Utopolo wanaoshobokea haya ...Kama wewe ndio kinacchoshangaza zaidi!
Ukipata akili hutaandika ujinga kama huu
 
Andiko hili limekufunua nguo.kuwa shuleni ulisomeaa ujinga! JPM unamlinganishaje na Nyerere kwa mfano ...hivi sijui Nani aliwaroga aisee!
Rais kazi yake ninkuweka mifumo ya Ustawi was nchi ktk nyaja zote ..tena ya kudumu ..Ni Nyerere tu na Mkapa walifanikiwa kti hili...Ukimlinganisha Jiwe na Mwinyi au JK labda !
La mhimu kidogo uliloandika hapa, ni kupinga kumlinganisha JPM na Nyerere, Hilo nakupa zote, mengine ni utopolo,

Ukija kupata akili ndipo utatambua kuwa hata hiyo mifumo huwa haiwekwi na Raisi ispokuwa ni wananchi wenyewe wanapoona kunahitajika hivyo, niambie leo, Je katiba inamapungufuu au haina?

Ukinijibu Hilo, nitakuuliza tena, Kwa nini Rais anaogopa kutupa katiba?

Unadhani ni Nani wa kutupa katiba Kati ya Raisi na wananchi?

Je, mifumo unayoitaka inatokona na nini??

Ukiyajibu hayo, nitakuona wewe hukwenda shule kusomea upumbavu
 
View attachment 1776112

Kwa heshima na taadhima napenda kuishauri serikali yetu adhimu,ibadirishe matumizi ya uwanja wa ndege chato ili tuepuke hasara itakayo tokana na uwanja huo kutotumika kikamilifu.

Uwanja huu wa kisasa umejengwa huku watanzania wakivutana na kurumbana wengine wakidai umejengwa kisiasa wengine wakisema upo kwenye irani ya chama cha mapinduzi kwa hivyo hakuna makosa, na mengine mengi

CCM answers to opposition on Chato Airport accusations

Mimi si mwana siasa sitaki kusema mengi kuhusu maoni ya wanasiasa hili tuwaachie wanasiasa sisi tuangalie ni nini kifanyike ili uwanja huu uwe wenye manufaa kwa taifa letu.

Kwanza napenda kuwatoa hofu wale wote wanao dhani kuwa uwanja huu baada ya kufariki Rais JP Magufuli basi hauna faida tena kwa kuwa hakuna ndege za kutumia tena uwanja huu, zifuatazo ni faida kadhaa za uwepo wa uwanja huu katika eneo hilo.

Uwanja wa chato upo km 131.26 za anga kwenda uwanja wa ndege Mwanza lakini pia Entebe airport Uganda sio mbali, uwanja huu utafaa zaidi kwa ndege kubwa endapo zitapata dharula ya kutua katika uwanja wa ndege mwanza au hata Entebe, hivyo uwanja ulio karibu zaidi ni Chato kuliko kurejea Dar, Kir au Dom.

Hili halina ubishi liko wazi, na pale Mwanza airport itakapo anza kutumika kikamilifu kimataifa baada ya ujenzi kukamilika an alternative airport in case of emergency ni Chato,hii itakuwa ni sifa ya nyongeza kwa uwanja wa kimataifa Mwanza.

Kwa kuwa watanzania tumezoeshwa kujengewa miundombinu inayofaa kwa wakati uliopo na si miundombinu inayofaa sasa na miaka mingine hamsini mbele, tunaona leo tu peke yake lakini hatuna uthubutu wa kuangalia faida hata ya miaka kumi tu ijayo, kila kitu kina panuka utalii utaongezeka mahitaji kwa ujumla yataongezeka kwa miundo mbinu iliyopo, kwa wale mlio na wasiwasi mnaihukumu Chato airport kwa maono ya miaka mingapi mbele? na ndipo mnapopata jibu la kwamba haina faida?

Kwa mnaojua historia ya nchi yetu mtakumbuka mji wa Mwanza uliwahi kushambuliwa mara kadhaa kwa ndege za kivita toka mataifa jirani mwaka 1972 na kipindi cha vita ya Kagera 1978-1980 kwa misingi ya kutaka kushambulia kikosi chetu imara cha anga kilichopo mwanza, ingawa mara zote majeshi yetu yalifanikiwa kuzidungua ndege za adui, hii inaonyesha kuwa ipo sababu sasa tena ya msingi kukihamisha kikosi cha anga kilichopo mwanza kwenda chato, na hapo kitakuwa kimkakati zaidi kuliko Mwanza.

Tukumbuke lake zone ndio ukanda ulio zungukwa na nchi nyingi kuliko ukanda mwingine wowote ule na mkumbuke jirani au rafiki yako wa leo ndio adui yako wa kesho.

Kwa sasa uwanja wa ndege wa mwanza unatumika kwa madhumuni yote mawili lakini kwa asilimia ndogo za kijeshi na unatambulika kuwa uwanja wa kiraia, kwa Chato iwe tofauti utumike kwa asilimia nyingi kijeshi na chache kiraia, hata kama utajulikana kama uwanja wa kijeshi chato poa tu. Msipoteze muda mpeni mabeyo hicho kiwanja kina mfaa.

Karib
Hili ni wazo zuri sana
View attachment 1776112

Kwa heshima na taadhima napenda kuishauri serikali yetu adhimu,ibadirishe matumizi ya uwanja wa ndege chato ili tuepuke hasara itakayo tokana na uwanja huo kutotumika kikamilifu.

Uwanja huu wa kisasa umejengwa huku watanzania wakivutana na kurumbana wengine wakidai umejengwa kisiasa wengine wakisema upo kwenye irani ya chama cha mapinduzi kwa hivyo hakuna makosa, na mengine mengi

CCM answers to opposition on Chato Airport accusations

Mimi si mwana siasa sitaki kusema mengi kuhusu maoni ya wanasiasa hili tuwaachie wanasiasa sisi tuangalie ni nini kifanyike ili uwanja huu uwe wenye manufaa kwa taifa letu.

Kwanza napenda kuwatoa hofu wale wote wanao dhani kuwa uwanja huu baada ya kufariki Rais JP Magufuli basi hauna faida tena kwa kuwa hakuna ndege za kutumia tena uwanja huu, zifuatazo ni faida kadhaa za uwepo wa uwanja huu katika eneo hilo.

Uwanja wa chato upo km 131.26 za anga kwenda uwanja wa ndege Mwanza lakini pia Entebe airport Uganda sio mbali, uwanja huu utafaa zaidi kwa ndege kubwa endapo zitapata dharula ya kutua katika uwanja wa ndege mwanza au hata Entebe, hivyo uwanja ulio karibu zaidi ni Chato kuliko kurejea Dar, Kir au Dom.

Hili halina ubishi liko wazi, na pale Mwanza airport itakapo anza kutumika kikamilifu kimataifa baada ya ujenzi kukamilika an alternative airport in case of emergency ni Chato,hii itakuwa ni sifa ya nyongeza kwa uwanja wa kimataifa Mwanza.

Kwa kuwa watanzania tumezoeshwa kujengewa miundombinu inayofaa kwa wakati uliopo na si miundombinu inayofaa sasa na miaka mingine hamsini mbele, tunaona leo tu peke yake lakini hatuna uthubutu wa kuangalia faida hata ya miaka kumi tu ijayo, kila kitu kina panuka utalii utaongezeka mahitaji kwa ujumla yataongezeka kwa miundo mbinu iliyopo, kwa wale mlio na wasiwasi mnaihukumu Chato airport kwa maono ya miaka mingapi mbele? na ndipo mnapopata jibu la kwamba haina faida?

Kwa mnaojua historia ya nchi yetu mtakumbuka mji wa Mwanza uliwahi kushambuliwa mara kadhaa kwa ndege za kivita toka mataifa jirani mwaka 1972 na kipindi cha vita ya Kagera 1978-1980 kwa misingi ya kutaka kushambulia kikosi chetu imara cha anga kilichopo mwanza, ingawa mara zote majeshi yetu yalifanikiwa kuzidungua ndege za adui, hii inaonyesha kuwa ipo sababu sasa tena ya msingi kukihamisha kikosi cha anga kilichopo mwanza kwenda chato, na hapo kitakuwa kimkakati zaidi kuliko Mwanza.

Tukumbuke lake zone ndio ukanda ulio zungukwa na nchi nyingi kuliko ukanda mwingine wowote ule na mkumbuke jirani au rafiki yako wa leo ndio adui yako wa kesho.

Kwa sasa uwanja wa ndege wa mwanza unatumika kwa madhumuni yote mawili lakini kwa asilimia ndogo za kijeshi na unatambulika kuwa uwanja wa kiraia, kwa Chato iwe tofauti utumike kwa asilimia nyingi kijeshi na chache kiraia, hata kama utajulikana kama uwanja wa kijeshi chato poa tu. Msipoteze muda mpeni mabeyo hicho kiwanja kina mfaa.

Karibuni wenye mawazo ya kuona mbali mchangie katika hili ili kutoa mwanga wa matumizi chanya ya uwanja wa Chato.
Big Up sana... Mawazo yako yamesadifu na nilichokua ninakiwaza muda mrefu. Kubadili airport ya Chato kuwa ya kijeshi ni wazo zuri sana na lenye tija.
Mimi naunga mkono hoja
 
View attachment 1776112

Kwa heshima na taadhima napenda kuishauri serikali yetu adhimu,ibadirishe matumizi ya uwanja wa ndege chato ili tuepuke hasara itakayo tokana na uwanja huo kutotumika kikamilifu.

Uwanja huu wa kisasa umejengwa huku watanzania wakivutana na kurumbana wengine wakidai umejengwa kisiasa wengine wakisema upo kwenye irani ya chama cha mapinduzi kwa hivyo hakuna makosa, na mengine mengi

CCM answers to opposition on Chato Airport accusations

Mimi si mwana siasa sitaki kusema mengi kuhusu maoni ya wanasiasa hili tuwaachie wanasiasa sisi tuangalie ni nini kifanyike ili uwanja huu uwe wenye manufaa kwa taifa letu.

Kwanza napenda kuwatoa hofu wale wote wanao dhani kuwa uwanja huu baada ya kufariki Rais JP Magufuli basi hauna faida tena kwa kuwa hakuna ndege za kutumia tena uwanja huu, zifuatazo ni faida kadhaa za uwepo wa uwanja huu katika eneo hilo.

Uwanja wa chato upo km 131.26 za anga kwenda uwanja wa ndege Mwanza lakini pia Entebe airport Uganda sio mbali, uwanja huu utafaa zaidi kwa ndege kubwa endapo zitapata dharula ya kutua katika uwanja wa ndege mwanza au hata Entebe, hivyo uwanja ulio karibu zaidi ni Chato kuliko kurejea Dar, Kir au Dom.

Hili halina ubishi liko wazi, na pale Mwanza airport itakapo anza kutumika kikamilifu kimataifa baada ya ujenzi kukamilika an alternative airport in case of emergency ni Chato,hii itakuwa ni sifa ya nyongeza kwa uwanja wa kimataifa Mwanza.

Kwa kuwa watanzania tumezoeshwa kujengewa miundombinu inayofaa kwa wakati uliopo na si miundombinu inayofaa sasa na miaka mingine hamsini mbele, tunaona leo tu peke yake lakini hatuna uthubutu wa kuangalia faida hata ya miaka kumi tu ijayo, kila kitu kina panuka utalii utaongezeka mahitaji kwa ujumla yataongezeka kwa miundo mbinu iliyopo, kwa wale mlio na wasiwasi mnaihukumu Chato airport kwa maono ya miaka mingapi mbele? na ndipo mnapopata jibu la kwamba haina faida?

Kwa mnaojua historia ya nchi yetu mtakumbuka mji wa Mwanza uliwahi kushambuliwa mara kadhaa kwa ndege za kivita toka mataifa jirani mwaka 1972 na kipindi cha vita ya Kagera 1978-1980 kwa misingi ya kutaka kushambulia kikosi chetu imara cha anga kilichopo mwanza, ingawa mara zote majeshi yetu yalifanikiwa kuzidungua ndege za adui, hii inaonyesha kuwa ipo sababu sasa tena ya msingi kukihamisha kikosi cha anga kilichopo mwanza kwenda chato, na hapo kitakuwa kimkakati zaidi kuliko Mwanza.

Tukumbuke lake zone ndio ukanda ulio zungukwa na nchi nyingi kuliko ukanda mwingine wowote ule na mkumbuke jirani au rafiki yako wa leo ndio adui yako wa kesho.

Kwa sasa uwanja wa ndege wa mwanza unatumika kwa madhumuni yote mawili lakini kwa asilimia ndogo za kijeshi na unatambulika kuwa uwanja wa kiraia, kwa Chato iwe tofauti utumike kwa asilimia nyingi kijeshi na chache kiraia, hata kama utajulikana kama uwanja wa kijeshi chato poa tu. Msipoteze muda mpeni mabeyo hicho kiwanja kina mfaa.

Karibuni wenye mawazo ya kuona mbali mchangie katika hili ili kutoa mwanga wa matumizi chanya ya uwanja wa Chato.
Mara PAAAAAA jamaa kaibukia chato - naona watu watakavyokimbizana kuzikana kauli zao..
 
Kibali kinatolewa muanikie mpunga na mihogo stay tune ile hasara kubwa sana ....
 
... kwa jinsi Chato ilivyo jirani na mipaka yetu nyeti, pamoja na uwanja huo kugeuzwa kuwa wa kijeshi vilevile inahitajika kambi kubwa ya jeshi zaidi ya LUGALO!
👊 :cool:✌️💥
 
Hivi wale wanyama waliopelekwa hapo Chato bado wapo ama aasharudi kwao ssdengeti
... usikute mzee mwenyewe Jiwe aliishawafanya mboga! ... wang'wise kwa nyama alikuwa noma!
😅
1623308972752.png
 
Yote yenu, mwenye maono yake keshaondoka.

Taifa linalobebwa na mtu mmoja Kwa ngazi ya Uraisi kufikiri yeye na kutenda yeye na katiba imempa Uhuru huo, halafu sasa, baada ya kutenda hivyo, ndio watu waanze kuuliza Kwa nini uliamua kujenga uwanja ama kununua Ndege ili Hali tulitaka utuletee bahari Dodoma, wewe utakuwa Dicteta.

Narudia tena, Wote wanaomuita Raisi wetu awe JPM ama mwingine ajaye kuwa ni Dicteta ni wapumbavu na hawana uelewa wowote

Labda niwaulize nyinyi wajinga mnaomlaumu Hayati JPM, Ni wapi yalipo/ulipo mpango wa kitaifa?

Kama nafasi ya Uraisi imeachwa itende Kwa niaba ya wote, mnategemea nini.

Narudia tena, mpaka huu muda, si Raisi wa Kwanza mpaka sasa, hakuna Rais aliyetenda mengi makubwa na Kwa muda mfupi Kwa nchi yake kama Hayati JPM Kwa mjibu wa katiba Yetu, hayupo!

Watapata tabu sana kufikia kiwango chake wote wanaomfuata.
Kweli kabisa
 
Sioni kama ni hasara kwa uwanja wa ndege kujengwa Chato. Kama ulivyoandika unaweza kutumiwa na jeshi kwa muda huu lakini kwa mipango ya miaka mingi ijayo wakati uwanja ule wa Mwanza ukiwa na shughuli nyingi ule wa Chato utakuwa ni uwanja msaidizi.

Tatizo letu watanzania ni kuendekeza siasa kwenye kila kitu. Kaskazini vipo viwanja vya ndege vingi na vinaigharimu pesa nyingi serikali katika kuvitunza lakini ule wa Chato unatazamwa kwa nongwa za ukabila!!.

Umeweka hoja ya uwanja mbadala kuwepo kwa sababu za kiulinzi, wenye akili zilizotulia watakuwa wamekuelewa.
 
Watu wanahasira sana na Shujaa wa Mazezeta ukijifanya kumsifiasifia ndio maana unakutana na majibu kama hayo
Wakati mwingine mnapomtukana JPM mnakuwa mkieleweka kama watu mnaotaka kuuendeleza ukabila na ushamba, tuhuma mbili alizopewa marehemu muda mwingi akiwa rais.
 
Tuondoe muono wa kila kitu kwa leo tuu. Uwanja wa Kilimanjaro ulianza kutumika miaka kumi baada ya kujengwa.

Uwanja wa Songwe ilichukuwa miaka 7 kuanza kutumika baada ya kujengwa, mpaka leo hii kuna ndege bado haiwezi kutua Songwe na ni ndege za kawaida tuu. Na ulijengwa kwa gharama kubwa kuliko uwanja wa Kilimanjaro.

Uwekezaji wa kiuchumi hauwekezwi kwa kuangalia leo tuu.
 
Sioni kama ni hasara kwa uwanja wa ndege kujengwa Chato. Kama ulivyoandika unaweza kutumiwa na jeshi kwa muda huu lakini kwa mipango ya miaka mingi ijayo wakati uwanja ule wa Mwanza ukiwa na shughuli nyingi ule wa Chato utakuwa ni uwanja msaidizi.

Tatizo letu watanzania ni kuendekeza siasa kwenye kila kitu. Kaskazini vipo viwanja vya ndege vingi na vinaigharimu pesa nyingi serikali katika kuvitunza lakini ule wa Chato unatazamwa kwa nongwa za ukabila!!.

Umeweka hoja ya uwanja mbadala kuwepo kwa sababu za kiulinzi, wenye akili zilizotulia watakuwa wamekuelewa.
Mkuu jaribu kufikiria kwa mapana.. hakuna ukabila.. suala hili linaangaliwa kwa manufaa ya nchi.. Chato Airport hapana na ni hasara kubwa kwa taifa.. Viwanja kaskazini sio vingi unavyosema na gharama hazipo unavyosema.. KIA inajiendesha.. Arusha Airport inajiendesha.. Manyara Airstrip iko busy high season pamoja na Seronera.. Tanga Airport haitumiki
 
Mkuu jaribu kufikiria kwa mapana.. hakuna ukabila.. suala hili linaangaliwa kwa manufaa ya nchi.. Chato Airport hapana na ni hasara kubwa kwa taifa.. Viwanja kaskazini sio vingi unavyosema na gharama hazipo unavyosema.. KIA inajiendesha.. Arusha Airport inajiendesha.. Manyara Airstrip iko busy high season pamoja na Seronera.. Tanga Airport haitumiki
Hapo unapojaribu kuonyesha kuwa Chato airport haitakuja kuwa muhimu ndipo unapokosea.

Tanzania mwisho sio leo wala kesho wapo wawekezaji watakaokuja kutumia uwanja huo wa chato. Ni ubinafsi kudhani kuwa miaka ijayo hakutakuwa na watu wabunifu.

Tuondokane na hizi dhana za ukanda kila eneo linazo rasilimali ambazo zitakuja kuziinua miaka ijayo.

Sio Chato tu vipo viwanja vingi vya ndege vinapitia kipindi kigumu sasa lakini zipo siku vitakuwa vikitumiwa na kuingiza pesa.
 
Hapo unapojaribu kuonyesha kuwa Chato airport haitakuja kuwa muhimu ndipo unapokosea.

Tanzania mwisho sio leo wala kesho wapo wawekezaji watakaokuja kutumia uwanja huo wa chato. Ni ubinafsi kudhani kuwa miaka ijayo hakutakuwa na watu wabunifu.

Tuondokane na hizi dhana za ukanda kila eneo linazo rasilimali ambazo zitakuja kuziinua miaka ijayo.

Sio Chato tu vipo viwanja vingi vya ndege vinapitia kipindi kigumu sasa lakini zipo siku vitakuwa vikitumiwa na kuingiza pesa.
Mkuu nakuelewa.. Kumbuka hapo Chato Airport imelala Billion zaidi ya 50. Uwanja mpaka uwe effective kwa matumizi ni miaka ya mbeleni sana.. Mkuu ulishawahi kufika Chato?
Uwanja kama wa Mwanza unahitaji upgrade kubwa sana.. Eneo la packing za ndege.. Jengo la Abiria.. Upanuzi wa tax packing.. Uwanja wa Mwanza unatakiwa uwe wa kimataifa... Hilo lilitakiwa kufanyika kwanza kabla ya kukimbilia kujenga Chato
 
Mkuu nakuelewa.. Kumbuka hapo Chato Airport imelala Billion zaidi ya 50. Uwanja mpaka uwe effective kwa matumizi ni miaka ya mbeleni sana.. Mkuu ulishawahi kufika Chato?
Uwanja kama wa Mwanza unahitaji upgrade kubwa sana.. Eneo la packing za ndege.. Jengo la Abiria.. Upanuzi wa tax packing.. Uwanja wa Mwanza unatakiwa uwe wa kimataifa... Hilo lilitakiwa kufanyika kwanza kabla ya kukimbilia kujenga Chato
Mkuu kwa sasa umeme unasambaa nchi nzima naamini zipo fursa nyingi zinakwenda kuibuliwa.

Nyumbani Ngara kuna ile shughuli ya nickel kuanza kuchimbwa maana yake kuna fursa nyingine za kijamii zina kwenda kuinuka.
 
Back
Top Bottom