Ili Tupate maendeleo tunahitaji viongozi wenye maamuzi magumu!

ego

JF-Expert Member
Apr 10, 2013
1,620
1,407
Kilimo cha vanilla kinasemekana ni mkombozi mkubwa sana, imagine kilo moja inaweza kuuzwa 150,000/=

Mche mmoja tunaambiwa unavunwa kuanzia nusu kilo mpaka kilo 3

Kilimo hiki kinakubali sana mkoa wa Kagera lakini wizi wa mazao haya umekithiri pamoja na uvivu.

Niwaulize viongozi wetu hivi mmeshindwa kuchapa watu viboko kila mmoja alime vanila?

Mmeshindwa kutengeneza mifumo ya kudhibiti wezi?

Waziri wa Kilimo uko wapi?

Waziri wa Viwanda na Biashara uko wapi?

Mkuu wa mkoa wa Kagera uko wapi?

Wananchi wa Kagera wengi wanasema vanilla ni dhahabu lakini wengi wanasema ukilima ulale shambani kulinda.

Kama fursa kama hizi hatuwezi kuziona na kuzigeuza fursa kwa watu ama kwa kuwalazimisha au kuwaondolea changamoto tusitegemee tunaweza kuwaletea wananchi kupitia mambo magumu zaidi.
 
Kilimo cha vanilla kinasemekana ni mkombozi mkubwa sana, imagine kilo moja inaweza kuuzwa 150,000/=

Mche mmoja tunaambiwa unavunwa kuanzia nusu kilo mpaka kilo 3

Kilimo hiki kinakubali sana mkoa wa Kagera lakini wizi wa mazao haya umekithiri pamoja na uvivu.

Niwaulize viongozi wetu hivi mmeshindwa kuchapa watu viboko kila mmoja alime vanila?

Mmeshindwa kutengeneza mifumo ya kudhibiti wezi?

Waziri wa Kilimo uko wapi?

Waziri wa Viwanda na Biashara uko wapi?

Mkuu wa mkoa wa Kagera uko wapi?

Wananchi wa Kagera wengi wanasema vanilla ni dhahabu lakini wengi wanasema ukilima ulale shambani kulinda.

Kama fursa kama hizi hatuwezi kuziona na kuzigeuza fursa kwa watu ama kwa kuwalazimisha au kuwaondolea changamoto tusitegemee tunaweza kuwaletea wananchi kupitia mambo magumu zaidi.
Hapa Tz watakwambia nyie tukiwaboreshea zao hilo mtaendelea kuliko wengine. Kahawa iliachwa ife ili mikoa inayolima kahawa ilingane na mingine kimaendeleo. Huu ndio upuuzi wa viongozi tulionao.
 
Hapa Tz watakwambia nyie tukiwaboreshea zao hilo mtaendelea kuliko wengine. Kahawa iliachwa ife ili mikoa inayolima kahawa ilingane na mingine kimaendeleo. Huu ndio upuuzi wa viongozi tulionao.
Yaan vanilla inasitawi vzr Sana maeneo yenye kahawa .


Na ina thamani kuliko hata kahawa lakin wako busy kununua wanachama baada ya kuwauzia watu mbegu watu watajirike.



Vanilla imeanza kulimwa Kagera lakin wengi huibiwa zikija kuiva

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom