impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,733
- 7,611
Siamini Taasisi ya kuzuia kupambana na rushwa TAKUKURU mpaka pale itakapo wakamata watuhumiwa wa sakata la kuhonga na kununua madiwani wa Arusha.
Hata taarifa za Twaweza ni za kupika ama wameuliza wa Tanzania wasio na uelewa
Rushwa ipo kwa kiwango cha juu kupita wakati wowote ule
Hata taarifa za Twaweza ni za kupika ama wameuliza wa Tanzania wasio na uelewa
Rushwa ipo kwa kiwango cha juu kupita wakati wowote ule