GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,468
- 108,621
Ni Marais ambao
Nawasilisha.
- Wamejaaliwa sana uwezo mkubwa wa akili na maarifa mengi
- Wamelelewa na wamepikwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
- Wameishi mno Tanzania hali ambayo imefanya nao wawe tu Watanzania wenzetu
- Wanapenda sana Maendeleo ya Tanzania na wameisadia nchi hii kwa mambo mengi
- Wanapenda mno Kujitegemea kuliko Kutegemea Wazungu ambao kutwa wanatunyonya
- Sera zao za Elimu kama zikiigwa nchini Tanzania basi Ujinga na Upumbavu utapungua
- Ni Mashujaa wa kweli wa Kijeshi, Kiusalama na Kiuchumi hivyo si vibaya nasi tukiwaiga
Nawasilisha.