GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,795
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Bakari Mwamnyeto
5. Erasto Nyoni
6. Jonas Mkude
7. Simon Msuva
8. Feisal Salum
9. Ditram Nchimbi
10. John Boko
11. Farid Musa
Na John Boko aambiwe upesi kuwa atakuwa tu 'Ceremonial Captain' kwa Kuvaa 'Kitambaa' ila 'Maelekezo' yote ya Uwanjani atakuwa anayatoa Erasto Nyoni pekee. Kama ikitokea Mchezaji wa Taifa Stars atatakiwa Kubebesha 'Hirizi' ya 'Ushindi' leo basi 'avalishwe' Faisal Salum kwani 'Kinyota' leo yuko vizuri na huenda hata ushindi ukatokea Kwake au akautengeneza Yeye pia.
Kama Mazingira yataruhusu kabla ya Mechi Kuanza Chumvi pamoja na Ndimu zinatakiwa 'Kumwagwa' katika Pembe Nne za Uwanja ili 'Kuwamaliza' vizuri hawa Waarabu Wazungu (Watunisia) leo. Haya yakifanyika 'Kiumakini' basi leo Taifa Stars inaweza Kushinda Goli 2 kwa 0 au 3 kwa 1. Watunisia 'wakitutangulia' tu Kipindi cha Kwanza basi leo 'tutafungwa' mengi kwa BWM.
Kikosi kisipopangwa kama nilivyokiweka hapa basi GENTAMYCINE nitakuwa wa Kwanza kuwahi Kulala nchini leo ili nisisikie Magoli tutakayofungwa.
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Bakari Mwamnyeto
5. Erasto Nyoni
6. Jonas Mkude
7. Simon Msuva
8. Feisal Salum
9. Ditram Nchimbi
10. John Boko
11. Farid Musa
Na John Boko aambiwe upesi kuwa atakuwa tu 'Ceremonial Captain' kwa Kuvaa 'Kitambaa' ila 'Maelekezo' yote ya Uwanjani atakuwa anayatoa Erasto Nyoni pekee. Kama ikitokea Mchezaji wa Taifa Stars atatakiwa Kubebesha 'Hirizi' ya 'Ushindi' leo basi 'avalishwe' Faisal Salum kwani 'Kinyota' leo yuko vizuri na huenda hata ushindi ukatokea Kwake au akautengeneza Yeye pia.
Kama Mazingira yataruhusu kabla ya Mechi Kuanza Chumvi pamoja na Ndimu zinatakiwa 'Kumwagwa' katika Pembe Nne za Uwanja ili 'Kuwamaliza' vizuri hawa Waarabu Wazungu (Watunisia) leo. Haya yakifanyika 'Kiumakini' basi leo Taifa Stars inaweza Kushinda Goli 2 kwa 0 au 3 kwa 1. Watunisia 'wakitutangulia' tu Kipindi cha Kwanza basi leo 'tutafungwa' mengi kwa BWM.
Kikosi kisipopangwa kama nilivyokiweka hapa basi GENTAMYCINE nitakuwa wa Kwanza kuwahi Kulala nchini leo ili nisisikie Magoli tutakayofungwa.