funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,558
- 21,035
- Thread starter
- #41
nachanganya na za kwangu hapaachana naye, hana adabu huyo dada anazalilisha sana wanaweke, aliolewa ya nini kama bado anataka wanaume wengine? alafu chunga sana kijana uwezu jua hiyo ndiyo tabia yake, ameshapita offisi ngapi? aliwafunulia wangapi? iwezakuwa mgonjwa huyo?!! anataka akusambazie wadudu
kuwa makini, wanawake wapo tena wengi ambao siyo wake za watu ((KUMBUKA MWENZIO ALINASA??))