- Thread starter
- #21
Wabongo bwana !!!!!!organization
Wabongo bwana !!!!!!organization
usifanye makosa tena, chagua MembeWabongo bwana !!!!!!
Buku 7 at workusifanye makosa tena, chagua Membe
Nieaidie japo dondoo kwa chache .Sikiliza bwana mdogo. Idadi ya wanawake haipunguzi stress.
Kupungua kwa stress kunaanza na ww. Kwanza kuridhika na ww mwenyewe na maisha yako.
Ukitegemea kuridhishwa na mtu.. aise utafeli utafeli utafeli.
Kwanza be happy mwenyewe.. the rest havitakusumbua.
Jamaa ni muongo tena mchana kweupehuu ni uongo
First of all mafanikio yako. Yawe kielimu kiuchumi .. make sure always unafurahia hatua unayopiga. Pili kuwa social na watu smart. Itakuongezea kujulikana.. i mean mtandao wako utaongezeka.. halaf itakuweka pazuri kimafanikio.Nieaidie japo dondoo kwa chache .
How can i be happy independently of someone else.Mfano mtu una mwenza na umemzoea sasa akishaanza hiz fujo si rahis sana kufanya hich ulichosema.
Natangulisha shukrani
My point is sio uwe alone no. Tafuta mchumba.. oa lakin asiwe source ya furaha yako 100%. Mpe 43%.. au 50% kama unamuamini sana.Ok !! Hii yaweza kuwa big point lkn kumbuka waweza fanya kaz kwa juhud na ukafanikiwa lkn km upo alone huwez kuenjoy
Apo nimekusoma na tunaenda vzr lkn swal langu ni moja na point yangu hapa kwa hpja yako apo juu km atabadilika lazima uwe na back up kimada chengine pemben ili akizingua unaamia huku na ata uyo pia lazima umtafutie back up yke ili nae akizingua unahamia pengine sasa ni idadi gan sahih ya kuwa wanawake for me nahis 7 wanatoshaMy point is sio uwe alone no. Tafuta mchumba.. oa lakin asiwe source ya furaha yako 100%. Mpe 43%.. au 50% kama unamuamini sana.
Other 50% baki nayo. Why? Because huwezi jua siku anabadilika.
Umeongea point ila nakupinga sehemu moja mapenzi ni option na sio nessesary hapa i say no !!! Mapenzi ni important needs na sio basic needs naposema basic needs hv ni lazima upate ili uish food.water and shelter lkn ukishapata ivo apo kinachofuata ni important needs sasa apo mapenzi yana nafasi kubwa sn kwaio naweza kusema napenzi ni basic needs pia km food.water and shelter vpo tayarFirst of all mafanikio yako. Yawe kielimu kiuchumi .. make sure always unafurahia hatua unayopiga. Pili kuwa social na watu smart. Itakuongezea kujulikana.. i mean mtandao wako utaongezeka.. halaf itakuweka pazuri kimafanikio.
Usiweke mind yako 100% over a person. Hata kama anakupa furaha.. akija kuleta picha picha ndio hiyo unapata msongo.. why sababu umewekeza kwake. Hujawekeza kwako.
Wekeza kwako.. halaf most of time tafakari kupanda ngazi nyingine kimaisha.
Mapenzi yawe ni option sio necessesary.
Kwa style hiyo hata akizingua vip.. mind yako itakuwa kwenye mafanikio yako. Si kwenye pussy
Kwenye basic needs mapenzi hayapo yes.Umeongea point ila nakupinga sehemu moja mapenzi ni option na sio nessesary hapa i say no !!! Mapenzi ni important needs na sio basic needs naposema basic needs hv ni lazima upate ili uish food.water and shelter lkn ukishapata ivo apo kinachofuata ni important needs sasa apo mapenzi yana nafasi kubwa sn kwaio naweza kusema napenzi ni basic needs pia km food.water and shelter vpo tayar
Hata 10Wanawake ni chombo muhimu sn kijamii na kiuchumi kwa mwanaume .Mwanaume asiye na msichana wa kusex nae hana tofaut na mgonjwa hawez kufanya kaz vzr ukilinganisha na yule ambae yupo ktk mahusiano
Sasa basi hawa wanawake ni watu wa matatizo sn mara upo period.mara ana mimba. Mara anaumwa na visababu vengine visivyo na msing na anaweza kukuacha bila sababu ya msing yaan unashangaa tu gafla simu hapokei .sms hajibu na bila kusahau yale yaliozoea kuomba omba ela usipopa tu baai na tunda hupewi na hakuna mda mwanaume huwa anachanganyikiwa km mda anapoachwa na mpenzi wake solemba na hasa ukizingatia hana mwingine inabid aingie mtaan kusaka mwingine jambo ambalo linaweza kumgharimu mda pia
Sasa basi nachotaka kujua ili mwanaume ujiepushe na matatizo au stress zisizo na maana inabid uwe na wanawake wangapi
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI
Kwa uandishi huu haina haja ya kuwa na wanawake.Apo nimekusoma na tunaenda vzr lkn swal langu ni moja na point yangu hapa kwa hpja yako apo juu km atabadilika lazima uwe na back up kimada chengine pemben ili akizingua unaamia huku na ata uyo pia lazima umtafutie back up yke ili nae akizingua unahamia pengine sasa ni idadi gan sahih ya kuwa wanawake for me nahis 7 wanatosha
Kwa ukaguzi huu huna haja ya kuwa mwanaumeKwa uandishi huu haina haja ya kuwa na wanawake.
kazi na batausifanye makosa tena, chagua Membe
Asikudanganye mtuWanawake ni chombo muhimu sn kijamii na kiuchumi kwa mwanaume .Mwanaume asiye na msichana wa kusex nae hana tofaut na mgonjwa hawez kufanya kaz vzr ukilinganisha na yule ambae yupo ktk mahusiano
Sasa basi hawa wanawake ni watu wa matatizo sn mara upo period.mara ana mimba. Mara anaumwa na visababu vengine visivyo na msing na anaweza kukuacha bila sababu ya msing yaan unashangaa tu gafla simu hapokei .sms hajibu na bila kusahau yale yaliozoea kuomba omba ela usipopa tu baai na tunda hupewi na hakuna mda mwanaume huwa anachanganyikiwa km mda anapoachwa na mpenzi wake solemba na hasa ukizingatia hana mwingine inabid aingie mtaan kusaka mwingine jambo ambalo linaweza kumgharimu mda pia
Sasa basi nachotaka kujua ili mwanaume ujiepushe na matatizo au stress zisizo na maana inabid uwe na wanawake wangapi
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI
Ushaur mzur ntaufanyia kazKwa kuanzia uwe na warembo 30, utaongeza kadri muda unavyoenda.