Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
πππnimecheka kwa ngv jaman hapaπππLabda kama omega thrii siku hizi imehamia kwenye korosho
Maendeleo hayana chama
πππnimecheka kwa ngv jaman hapaπππLabda kama omega thrii siku hizi imehamia kwenye korosho
Maendeleo hayana chama
Hahahaaaa anazingua huyu ye anafikiri omega thrii ipo kama bibo.nimecheka kwa ngv jaman hapa
ijua..kulikoniMane unaijua mifuko ya sandarusi?
Maendeleo hayana chama
πππHahahaaaa anazingua huyu ye anafikiri omega thrii ipo kama bibo.
Maendeleo hayana chama
Mzaramo pekeee niliye na akili zakinazi na kibahari mwenye masters
Huyo siku hizi hatajwi naskia ameshakabiziwa kwa wale wa mabaka mabaka, yaani ni kama meli ileeena
ijua..kulikoni
Kwa mimi kuna dada mmoja chuo wala nilikuwa sina mazoea nae zaidi ya kujua tu jina lake alikuwa mashaallah kajazia nyuma kama mtungi rangi ya mtume full kumezea mate baba ako siku ya pepa paap huyu nakae nae mtoto maswali point hajui mzee wako point zote kichwani naachaje kumpa sasa maswali yote mzee nasubiri msimamizi kaenda mbali na sogeza pepa mtoto anapiga chabo kutoka urafiki ukaanzia hapo baba ako nikapewa asanteWe huyo ayo nae tokea awe mpiga zumari wa bwana mkubwa mi sina imani nae.
Wewe kwa akili zako unawaonaje hao waliojazia kichwani wana story gani zaidi bongo muvi na kujadili ma supa staa wasio na faida yoyote katika maisha yao.
Maendeleo hayana chama
Hongera mkuu ila nasikia siku hizi vichwa vya kambale wa ruvu pia vanasaidia sana kubusti ai kyuu.Mzaramo pekeee niliye na akili zakinazi na kibahari mwenye masters
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda IQ na siiyo ya kwako uliyoandikaHongera mkuu ila nasikia siku hizi vichwa vya kambale wa ruvu pia vanasaidia sana kubusti ai kyuu.
Maendeleo hayana chama
Hongera mkuuKwa mimi kuna dada mmoja chuo wala nilikuwa sina mazoea nae zaidi ya kujua tu jina lake alikuwa mashaallah kajazia nyuma kama mtungi rangi ya mtume full kumezea mate baba ako siku ya pepa paap huyu nakae nae mtoto maswali point hajui mzee wako point zote kichwani naachaje kumpa sasa maswali yote mzee nasubiri msimamizi kaenda mbali na sogeza pepa mtoto anapiga chabo kutoka urafiki ukaanzia hapo baba ako nikapewa asante
Sent using Jamii Forums mobile app
arghhhhh..ila mm niliwah soma mjamzito akila vichwa vya samak hasa sato anauhakika wa kuzaa mtoto mwenye akili nzuri coz ina omega 3..sasa nashindwa elewa zaidi mfano yule mbunge Musukuma mama yake alikua anakula nn...!Angalia kina TL hawajazaliwa kwenye samak ila sasa ni vipanga had unachukia..njoo sasa kwa Bigboss
Mbona wahindi huwa ni vilaza darasani.Kuna matunda fulani hivi Wahindi huwa wanatumia kuwapo watoto wao huwa yanasaidia kufanya ubongo kuhifadhi vitu vingi, ubongo unakuwa kama encyclopedia kwa maana ni kumbukumbu, kwa sababu elimu ni kumbukumbu. Kumbukumbu ikifeli basi huwezi kuhifadhi.
Zabibu kavu nazo zinasaidia kufanya ubongo kuwa na hifadhi nzuri. Vilevile mafuta halisi ya Mzaituni huwa wanachua kwenye mishipa ambayo ipo karibu na mapanja. Halafu wanasugua kwenye hiyo mishipa kwa kwenda mbele. Mafuta ya Mzaituni huwa yanasaidia kuzibua mishipa ya ufahamu.
Tena hakikisha anakula na kichwa chote cha samaki.Nimewai kusikia ukitaka mtoto wako awe na akili nyingi penda sana kumpa MBOGA za samaki. Kingine nilisikia kuna vidonge unampa anameza wakati bado mtoto ira ivo vidonge nimevisahau jina. Au kama unajua njia nyingine yoyote tujuzane
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu...mwanangu ana miaka 7 nw..anajinyonyeaga tu had leo ingawa maziwa yalikata akiwa na 5yrs..he is the best student..nilimpeleka had hosp nikakutana na Dk m1 akasema yy mwenyewe amenyonya had 5yrs na alikua kipanga sana class..ila sasa sio mama ashindie chips au baga au piza ukitegemea atakuwa brightutakesha!kama mama ana maziwa mwache mtoto anyonye
Mkuu inabidi ulekebishe hapoNimewai kusikia ukitaka mtoto wako awe na akili nyingi penda sana kumpa MBOGA za samaki. Kingine nilisikia kuna vidonge unampa anameza wakati bado mtoto ira ivo vidonge nimevisahau jina. Au kama unajua njia nyingine yoyote tujuzane
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kumpeleka mtoto madrassa nilimaanisha kaweka kama no.1
Upo sahihi kabisa Manengelo,
Inashauriwa sana mjamzito akitimiza wiki 28 za ujauzito wake anashauriwa kula samaki kwa wingi sana maana zina kitu kinaitwa omega 3 ambacho ndani yake kuna chombo inaitwa Docosahexaenoic Acid (DHA).
DHA ni kama fuel ya( kukuza ubongo (neurogenesis) na inazalisha neurotransmitters) nyingi sana ndani ya ubongo,
Na inasemekana kwamba, ikitokea mtu akiwa na kiwango kikubwa cha DHA basi lazima awe kipanga.
JE, kipanga lazima ale samaki tu? Answer is NO, Because
DHA hupatikana pia kwenye mayai ya kuku, soya beans nk pia mwili unauwezo wa kuzalisha DHA wenyewe.
Mzaramo pekeee niliye na akili zakinazi na kibahari mwenye masters
Sent using Jamii Forums mobile app