Mungu hajauumba ubongo vizuri eeh? Hivi kama unatoka familia za vilaza unategemea ununue akili kwa mvuvi? Uncle wangu mmoja alizaliwa ziwa Tanganyika lakini mpaka drs 6 hakujua kusoma na kuandika.Kuna matunda fulani hivi Wahindi huwa wanatumia kuwapo watoto wao huwa yanasaidia kufanya ubongo kuhifadhi vitu vingi, ubongo unakuwa kama encyclopedia kwa maana ni kumbukumbu, kwa sababu elimu ni kumbukumbu. Kumbukumbu ikifeli basi huwezi kuhifadhi.
Zabibu kavu nazo zinasaidia kufanya ubongo kuwa na hifadhi nzuri. Vilevile mafuta halisi ya Mzaituni huwa wanachua kwenye mishipa ambayo ipo karibu na mapanja. Halafu wanasugua kwenye hiyo mishipa kwa kwenda mbele. Mafuta ya Mzaituni huwa yanasaidia kuzibua mishipa ya ufahamu.
Ugali ni chakula kizuri sana ila usikoboe mahindi.Ukitaka mwanao awe na akili epuka kumpa ugali.
Wazungu sio wapumbavu ujueeee,
Kuna uhusiano mkubwa kwenye ugali na upungufu wa ai kyu ya mwanao.
Maendeleo hayana chama
Unavyofikiri ndivyo unavyoishi.Mungu hajauumba ubongo vizuri eeh? Hivi kama unatoka familia za vilaza unategemea ununue akili kwa mvuvi? Uncle wangu mmoja alizaliwa ziwa Tanganyika lakini mpaka drs 6 hakujua kusoma na kuandika.