Nimewai kusikia ukitaka mtoto wako awe na akili nyingi penda sana kumpa MBOGA za samaki. Kingine nilisikia kuna vidonge unampa anameza wakati bado mtoto ira ivo vidonge nimevisahau jina. Au kama unajua njia nyingine yoyote tujuzane
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app