Wakuu, itabidi Katikati mtanange ujao, Wekundu wa Msimbazi wawapige Yanga sio chini ya goli tano ili tuheshimiane.....
Kabla ya yanga mpigeni leo Al Ahly hizo 5 ili uheshimike zåidiWakuu, itabidi Katikati mtanange ujao, Wekundu wa Msimbazi wawapige Yanga sio chini ya goli tano ili tuheshimiane.....
Hawa Mikia wana matatizo. Eti wanaacha kufikiria game ya leo namna watavyonyongwa pale taifa dhidi ya red devils wa Afrika wao wapo kuifikiria game na Yanga. Badala ya kutafuta heshima ktk bara la Afrika wew unasubiri heshima ndani ya Tanzania.Kabla ya yanga mpigeni leo Al Ahly hizo 5 ili uheshimike zåidi
Ya leo waliashafeli wamefungwa kabla ya mechi kuanzaHawa Mikia wana matatizo. Eti wanaacha kufikiria game ya leo namna watavyonyongwa pale taifa dhidi ya red devils wa Afrika wao wapo kuifikiria game na Yanga. Badala ya kutafuta heshima ktk bara la Afrika wew unasubiri heshima ndani ya Tanzania.
Wewe waache tuu wanitekenyeNawaona mashabiki wa mikia mnahisi itakuwa mteremuko sana, mtapatwa na ugonjwa wa kutetemeka naona hamuujui mpira tabia yake!!! View attachment 1020341
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga mje mchukue michango ya hela tu. Ushindi hautawahusuIla mna kelele sana nyie jamaa. Khaaaa.
😀😀😀😀 Mtani nazidi kusisitiza Mujae kwa Mchina.Yanga mje mchukue michango ya hela tu. Ushindi hautawahusu
Wanachelewaga basi. Umesahau na kusingizia Uchawi.Mambo yakienda tofauti vinavyoathirika ni viti.
😂😂😂 waambie hao.Nawaona mashabiki wa mikia mnahisi itakuwa mteremuko sana, mtapatwa na ugonjwa wa kutetemeka naona hamuujui mpira tabia yake!!! View attachment 1020341
Sent using Jamii Forums mobile app
Chache hizoWakuu, itabidi Katikati mtanange ujao, Wekundu wa Msimbazi wawapige Yanga sio chini ya goli tano ili tuheshimiane.....