moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 125,830
- 691,374
Mkuu, Tanzania ni tofauti sana na Ufaransa.
Usifananishe Tanzania ni kinchi chenye uhaba wa ardhi.
Kwa muda mrefu jiji la Dar es salaam limekuwa na utaratibu wa kuhamisha makaburi kila inapobidi na jiji hili halijapata vikwazo vya mahali pa kuhamishia maiti wetu.
Kwa kifupi kuhifadhi makaburi ni sehemu ya ibada kwa baadhi ya Dini na hasa dini za kale za Afrika.
Usifananishe Tanzania ni kinchi chenye uhaba wa ardhi.
Kwa muda mrefu jiji la Dar es salaam limekuwa na utaratibu wa kuhamisha makaburi kila inapobidi na jiji hili halijapata vikwazo vya mahali pa kuhamishia maiti wetu.
Kwa kifupi kuhifadhi makaburi ni sehemu ya ibada kwa baadhi ya Dini na hasa dini za kale za Afrika.