Leo asubuhi wabunge wamelipwa mshahara na malimbikizo yao ya posho yote waliokuwa wanadai. Dhumuni kubwa inasemekana ni ili kuwalegeza msimamo wabunge wa Ukawa na wamefanikiwa . Hongera sana Mwigulu Nchemba kwa mbinu hii kali ya kijasusi uliyoitumia.