GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,383
- 108,441
Katika hali inayoonyesha kuwa Wanaume wa sasa tumeshachoka na Vitendo vya ' Uchepukaji ' na ' Dharau ' nyingi kutoka kwa Wanawake zetu ambao huwa wakianza tu Mahusiano ya Kimapenzi na Wanaume wengine sasa umekuja ' Ubunifu ' mpya ambapo Wanaume wa sasa ' hawauwi ' tena na badala yake wanachoma Moto kabisa ' Naniliu / Mbunye ' za Wanawake ( Wake zao / Wapenzi wao )
Ni kwamba Mwanaume mmoja huko nchini Uganda ameamua ' Kuzichoma ' Moto kabisa hadi Kufikia ' Majivu ' sehemu za Siri ( a.k.a Mbunye ) ya Mkewe kwa kile kinachodaiwa kuwa ni Ugomvi wao wa Kimapenzi hasa Uchepukaji wa Mkewe huyo na Dharau zake zilizopitiliza Kwake.
" Nimeamua kwa Makusudi kabisa Kuchoma Moto sehemu zake za Siri hadi Kufikia Majivu hivi ili tuone sasa huyo Mwanaume wake au hao Wanaume zake watakuwa wanaichomekea wapi hiyo Mikuyenge yao pindi wakiwa wanachepuka na huyu Mke wangu ambaye nimetoka nae mbali mno Kimaisha na nimemsaidia sana Yeye, Wazazi wake na Ndugu zake lakini leo hii Maisha yangu hayaniendei vizuri Kiuchumi ameanza Kunidharau na Kuniona Takataka " alisema Mchoma Moto Mkuu wa ' Mbunye ' ya Mkewe.
Chanzo Habari: Gazeti la leo la The Monitor kutoka nchini Uganda.
Ni kwamba Mwanaume mmoja huko nchini Uganda ameamua ' Kuzichoma ' Moto kabisa hadi Kufikia ' Majivu ' sehemu za Siri ( a.k.a Mbunye ) ya Mkewe kwa kile kinachodaiwa kuwa ni Ugomvi wao wa Kimapenzi hasa Uchepukaji wa Mkewe huyo na Dharau zake zilizopitiliza Kwake.
" Nimeamua kwa Makusudi kabisa Kuchoma Moto sehemu zake za Siri hadi Kufikia Majivu hivi ili tuone sasa huyo Mwanaume wake au hao Wanaume zake watakuwa wanaichomekea wapi hiyo Mikuyenge yao pindi wakiwa wanachepuka na huyu Mke wangu ambaye nimetoka nae mbali mno Kimaisha na nimemsaidia sana Yeye, Wazazi wake na Ndugu zake lakini leo hii Maisha yangu hayaniendei vizuri Kiuchumi ameanza Kunidharau na Kuniona Takataka " alisema Mchoma Moto Mkuu wa ' Mbunye ' ya Mkewe.
Chanzo Habari: Gazeti la leo la The Monitor kutoka nchini Uganda.