GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,091
- 107,611
Mshindi wa Jackpot ya SportPesa, Lilian Ngitoria Laizer, amekabidhiwa kitita chake kiasi cha Sh. 267,800,060 na Kampuni ya Michezo na Burudani ya SportPesa Tanzania, huku akieleza mipango yake ni kufungua biashara kubwa.
Nipashe
Kuna Mtu aliwahi kuniambia huko zamani kuwa Pesa, Elimu na Mafanikio huwa yanategemea na Historia nzima ya Koo zako zote mbili. Nimeamini!!
Nipashe
Kuna Mtu aliwahi kuniambia huko zamani kuwa Pesa, Elimu na Mafanikio huwa yanategemea na Historia nzima ya Koo zako zote mbili. Nimeamini!!