Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Pamoja na kwamba Magufuli amepiga kampeni kwa miaka mitano na miezi hii miwili ya NEC lakini ukifuatilia vizuri kampeni zake, utagundua kuwa ana hofu zaidi ya kushindwa kupata kura za kumuwezesha kushinda uchaguzi ikiwa na maana kwamba asilimia kubwa anaamini anaweza kushindwa. Hii inajidhihirisha kutokana na kauli, kutekeleza ahadi papo kwa hapo na vitisho kwa raia wakati wa kampeni.
Kwa upande mwingine, Tundu Lissu ana hofu kidogo ya kushinda uchaguzi ikiwa na maana kwamba asilimia kubwa anaamini atashinda uraisi. Ni kutokana na kauli na misimamo yake na kukubalika kwake kwa kipindi hiki kifupi cha kampeni takribani mwezi mmoja tu tofauti na Magufuli aliyepiga kampeni tangu 2015
ILI KUONDOA UTATA HUU, 'NEC' WAHESABU KURA KWA UWAZI 'LIVE KUPITIA TVs NA REDIO'
Pia kuwe na mawakala wa vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi katika vituo vyote na wapewe 'nakala' za matokeo.
Kwa upande mwingine, Tundu Lissu ana hofu kidogo ya kushinda uchaguzi ikiwa na maana kwamba asilimia kubwa anaamini atashinda uraisi. Ni kutokana na kauli na misimamo yake na kukubalika kwake kwa kipindi hiki kifupi cha kampeni takribani mwezi mmoja tu tofauti na Magufuli aliyepiga kampeni tangu 2015
ILI KUONDOA UTATA HUU, 'NEC' WAHESABU KURA KWA UWAZI 'LIVE KUPITIA TVs NA REDIO'
Pia kuwe na mawakala wa vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi katika vituo vyote na wapewe 'nakala' za matokeo.