Ili kuondoa matumizi mabaya ya pesa za umma huu ndio wakati wa taifa letu kuwa na katiba itakayowapa wananchi madaraka ya kutawala taifa lao

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
8,708
5,711
Katiba ya sasa ipo wazi kabisa kuwa ni wananchi ndio wana mamlaka kutawala taifa lao la Tanzania na hii ni kwa mujibu wa ibara ya 8(1)(a) ya katiba ya JMT. Sasa mbona hawana mamlaka hayo na wanabaki wanalialia hovyo?

Mbona wanalalamika juu ya tozo za ajabuajabu? Mbona wanalalamika kuwa pesa zao zinatumika hovyo? Pesa wanazokamuliwa kwenye kodi na tozo za kila namna.

Hii katiba ya sasa haijawapa mamlaka ya kutawala taifa lao. Hawana mamlaka ya kuliwajibisha bunge na rais anayetumia madaraka isivyotakiwa.
 
Katiba ya sasa ipo wazi kabisa kuwa ni wananchi ndio wana mamlaka kutawala taifa lao la Tanzania na hii ni kwa mujibu wa ibara ya 8(1)(a) ya katiba ya JMT. Sasa mbona hawana mamlaka hayo na wanabaki wanalialia hovyo?

Mbona wanalalamika juu ya tozo za ajabuajabu? Mbona wanalalamika kuwa pesa zao zinatumika hovyo? Pesa wanazokamuliwa kwenye kodi na tozo za kila namna.

Hii katiba ya sasa haijawapa mamlaka ya kutawala taifa lao. Hawana mamlaka ya kuliwajibisha bunge na rais anayetumia madaraka isivyotakiwa.
Katiba ndio inaondoa matumizi mabaya ya pesa za umma kiaje?

Harafu watu wako busy na kusaka pesa mambo ya katiba mnayajua nyie humu mitandaoni.
 
Katiba ya sasa ipo wazi kabisa kuwa ni wananchi ndio wana mamlaka kutawala taifa lao la Tanzania na hii ni kwa mujibu wa ibara ya 8(1)(a) ya katiba ya JMT. Sasa mbona hawana mamlaka hayo na wanabaki wanalialia hovyo?

Mbona wanalalamika juu ya tozo za ajabuajabu? Mbona wanalalamika kuwa pesa zao zinatumika hovyo? Pesa wanazokamuliwa kwenye kodi na tozo za kila namna.

Hii katiba ya sasa haijawapa mamlaka ya kutawala taifa lao. Hawana mamlaka ya kuliwajibisha bunge na rais anayetumia madaraka isivyotakiwa.
Eti leo chagu wa malunde wa kuandika haya?? Dunia inazunguka kea Kasi sana. Aliyekuwa akitumia pesa vibaya tena peke yake na wanyampala wake ni Malaika kutoka Chato. Tulieni Skuma gang watu watengeneze maisha mliyoyaharibu kwa nusu muongo tu.
 
Katiba ya sasa ipo wazi kabisa kuwa ni wananchi ndio wana mamlaka kutawala taifa lao la Tanzania na hii ni kwa mujibu wa ibara ya 8(1)(a) ya katiba ya JMT. Sasa mbona hawana mamlaka hayo na wanabaki wanalialia hovyo?

Mbona wanalalamika juu ya tozo za ajabuajabu? Mbona wanalalamika kuwa pesa zao zinatumika hovyo? Pesa wanazokamuliwa kwenye kodi na tozo za kila namna.

Hii katiba ya sasa haijawapa mamlaka ya kutawala taifa lao. Hawana mamlaka ya kuliwajibisha bunge na rais anayetumia madaraka isivyotakiwa.
Katiba Mpya haiepukiki Kwa maslahi mapana ya Taifa letu. Nafurahi kama na wewe Chagu umepata ufunuo huu
 
Katiba ndio inaondoa matumizi mabaya ya pesa za umma kiaje?

Harafu watu wako busy na kusaka pesa mambo ya katiba mnayajua nyie humu mitandaoni.
Kama hulijui hili basi bora wazazi wako wangefuga nguruwe kuliko kukupeleka shule maana ulisindikiza wengine wewe umebaki na ujinga wako
 
Eti leo chagu wa malunde wa kuandika haya?? Dunia inazunguka kea Kasi sana. Aliyekuwa akitumia pesa vibaya tena peke yake na wanyampala wake ni Malaika kutoka Chato. Tulieni Skuma gang watu watengeneze maisha mliyoyaharibu kwa nusu muongo tu.
Ukikua utaacha ujinga
 
Sio rahisi kihivyo kuwapokonya walamba asali tonge. UHURU ulipiganwa kwa maslai binafsi na sio maslai ya taifa
 
Katiba ya sasa ipo wazi kabisa kuwa ni wananchi ndio wana mamlaka kutawala taifa lao la Tanzania na hii ni kwa mujibu wa ibara ya 8(1)(a) ya katiba ya JMT. Sasa mbona hawana mamlaka hayo na wanabaki wanalialia hovyo?

Mbona wanalalamika juu ya tozo za ajabuajabu? Mbona wanalalamika kuwa pesa zao zinatumika hovyo? Pesa wanazokamuliwa kwenye kodi na tozo za kila namna.

Hii katiba ya sasa haijawapa mamlaka ya kutawala taifa lao. Hawana mamlaka ya kuliwajibisha bunge na rais anayetumia madaraka isivyotakiwa.
Ndoto za mchana! Watetezi wake wamelambishwa Asali, MBOWE kapewa hela yake na Tundu Lissu kahongwa ati kiinua Mgogo cha Ubunge, yote hongo ya kuwanyamazisha
 
Back
Top Bottom