chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,983
- 20,631
Nimetafakari sana na kugundua kumbe ccm hii shida tunayoipata tumeitengeneza wenyewe tangu enzi za mwalimu Nyerere
Kipindi cha mzee Nyerere,masomo mengi ya kuhoji mifumo yalifundishwa, na haya ndio shida kubwa kwetu
Awamu ya mzee Mwinyi na Mkapa,Benki ya Dunia na mashirika ya kimataifa yalimwaga pesa katika mitaala ili kuyafuta masomo haya,kwa kweli vitabu vilikuwa vinatoka kila leo na vilifuta yale mambo ya hovyo ya enzi za Mwalimu yaliyohamasisha kuhoji na kujenga hoja
Ila sasa bado tatizo lipo,mitaala lazima ipekenyuliwe upya, wachungaji na viongozi wa dini wapewe nguvu ya kuindorse siasa na wanasiasa, imani ichukue nafasi ya watu kujadili matendo ya wanasiasa na siasa, kila mkutano,viongozi wa dini waitwe waje wapandikize mambo yao ambayo yatasaidia watu wasifikiri ila wasubiri muujiza
Bongo fleva zipigwe kwa nguvu zote ili kwenye mikutano watu wacheze tu, wale wanaodili na kilimo wasijiulize kwa nn mazao yamepungua, wakiuliza waambiwe mapenzi ya Mungu, au achague A au B
Ntaendelea
Kipindi cha mzee Nyerere,masomo mengi ya kuhoji mifumo yalifundishwa, na haya ndio shida kubwa kwetu
Awamu ya mzee Mwinyi na Mkapa,Benki ya Dunia na mashirika ya kimataifa yalimwaga pesa katika mitaala ili kuyafuta masomo haya,kwa kweli vitabu vilikuwa vinatoka kila leo na vilifuta yale mambo ya hovyo ya enzi za Mwalimu yaliyohamasisha kuhoji na kujenga hoja
Ila sasa bado tatizo lipo,mitaala lazima ipekenyuliwe upya, wachungaji na viongozi wa dini wapewe nguvu ya kuindorse siasa na wanasiasa, imani ichukue nafasi ya watu kujadili matendo ya wanasiasa na siasa, kila mkutano,viongozi wa dini waitwe waje wapandikize mambo yao ambayo yatasaidia watu wasifikiri ila wasubiri muujiza
Bongo fleva zipigwe kwa nguvu zote ili kwenye mikutano watu wacheze tu, wale wanaodili na kilimo wasijiulize kwa nn mazao yamepungua, wakiuliza waambiwe mapenzi ya Mungu, au achague A au B
Ntaendelea