Ili kumuenzi komredi Magufuli pendekezo na 7 la kamati lipewe kipaumbele

Kwa vyovyote vile Tanzania inapigania ukombozi wa pili unaolenga kujitegemea kimaamuzi, kiuchumi, kiutamaduni na kihuduma.

Tanzania iliingia uchumi wa kati mapema kabla ya muda iliyojipangia hii ilitokana na usimamizi na kujiamini kwa Jemadari wetu hayati John Pombe Magifuli .

Magufuli aliletwa kutuaminisha kuwa na sisi ni viumbe wa Mungu kama walivyo wenzetu wa magharibi na mashariki.

Kamati imetoa mapendekezo (sio maagizo) kwa Rais, Serikali na watanzania.bado tuna fursa sasa ya kuamua nini tufanye.

kwangu mimi pendekezo namba 7 la kamati iliyoundwa kuhusu covid ni pendekezo muhimu na linalozingatia msimamo wetu na Hayati Rais wetu Magufuli.

Katika kumuenzi ni muhimu sana kuhakikisha kuwa pendekezo la kuwa na kiwanda cha chanjo linapewa kipaumbele cha haraka na kuhakikisha tunakuja na chanjo yetu kama watanzania ambayo itapitia michakato ya haraka na kutuletea chanjo ya corona kwa hisani ya watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Hiki Kiwanda itabidi Baadhi ya Ingredients zitoke nje,Au Kithibitishwe na Taasisi za Mataifa makubwa,?zitoke kwa mataifa makubwa Bila Hivyo Kitakuwa batili hakitatambulika na Kukubaliwa na Who!nimewaza tuu mkuu!
 
Hiki Kiwanda itabidi Baadhi ya Ingredients zitoke nje,Au Kithibitishwe na Taasisi za Mataifa makubwa,?zitoke kwa mataifa makubwa Bila Hivyo Kitakuwa batili hakitatambulika na Kukubaliwa na Who!nimewaza tuu mkuu!
Hakuna shida
 
Kwa vyovyote vile Tanzania inapigania ukombozi wa pili unaolenga kujitegemea kimaamuzi, kiuchumi, kiutamaduni na kihuduma.

Tanzania iliingia uchumi wa kati mapema kabla ya muda iliyojipangia hii ilitokana na usimamizi na kujiamini kwa Jemadari wetu hayati John Pombe Magifuli .

Magufuli aliletwa kutuaminisha kuwa na sisi ni viumbe wa Mungu kama walivyo wenzetu wa magharibi na mashariki.

Kamati imetoa mapendekezo (sio maagizo) kwa Rais, Serikali na watanzania.bado tuna fursa sasa ya kuamua nini tufanye.

kwangu mimi pendekezo namba 7 la kamati iliyoundwa kuhusu covid ni pendekezo muhimu na linalozingatia msimamo wetu na Hayati Rais wetu Magufuli.

Katika kumuenzi ni muhimu sana kuhakikisha kuwa pendekezo la kuwa na kiwanda cha chanjo linapewa kipaumbele cha haraka na kuhakikisha tunakuja na chanjo yetu kama watanzania ambayo itapitia michakato ya haraka na kutuletea chanjo ya corona kwa hisani ya watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Swala la kumenzi umelipata wapi? Nani kakwambia anataka aenziwe?

Mzee Mwinyi alisema, kila zama na kitabu chake.


Mama Samia aachwe aandike nayeye kitabu chake
 
Kwa vyovyote vile Tanzania inapigania ukombozi wa pili unaolenga kujitegemea kimaamuzi, kiuchumi, kiutamaduni na kihuduma.

Tanzania iliingia uchumi wa kati mapema kabla ya muda iliyojipangia hii ilitokana na usimamizi na kujiamini kwa Jemadari wetu hayati John Pombe Magifuli .

Magufuli aliletwa kutuaminisha kuwa na sisi ni viumbe wa Mungu kama walivyo wenzetu wa magharibi na mashariki.

Kamati imetoa mapendekezo (sio maagizo) kwa Rais, Serikali na watanzania.bado tuna fursa sasa ya kuamua nini tufanye.

kwangu mimi pendekezo namba 7 la kamati iliyoundwa kuhusu covid ni pendekezo muhimu na linalozingatia msimamo wetu na Hayati Rais wetu Magufuli.

Katika kumuenzi ni muhimu sana kuhakikisha kuwa pendekezo la kuwa na kiwanda cha chanjo linapewa kipaumbele cha haraka na kuhakikisha tunakuja na chanjo yetu kama watanzania ambayo itapitia michakato ya haraka na kutuletea chanjo ya corona kwa hisani ya watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
North Korea wenyewe wanakaribia kuwa na nyuklia, lakini hawapewi nafasi wanaminywa kwa vikwazo na wananchi wake wan taabika!

Ndiyo unachotaka kusema kuhusu Tanzania ya mwendazake? Kwamba matusi ya reja reja ndiyo yatakayotufanikisha zaidi ya. North Korea?

Pathetic!
 
ainziwe kwa kujaribu kuifanya Tanzania ijiamini
nani aliekuwa anaiamini tz kipindi chake?

wawekezaji walikimbia..

biashara zilifungwa..

account benk zilifungwa..

yeye ndio alikuwa ni sheria na katiba.

wewe unatka tukienzi kipi hapo?
 
Ni taasisi gani inaweza kuyafanya hayo?
MUHAS?
UDSM?
SUA? Hawa wapo busy na panya wa mabomu
Kiukweli tutanyweshwa juice za ajabu ajabu kama hizi taasisi zitapewa kazi ya kutengeneza chanjo.

Tanzania hakuna elimu ya chochote kile. Miaka 60 ya uhuru hata vijiti vya meno vinatoka Chiba
 
Wazee wa legacy uchwara.

Siku hizi mmepungua nguvu kabisa.

Mmekata pumzi mapema sana.

Kuna lile jinga linajiita nigastra nani sijui linaanzisha nyuzi hata mia kwa saa.

Naye kakata pumzi.

Mdogomdogo legacy uchwara ya mwendazake itasahaulika.
Itasahaulika kwanyinyi vichwa panzi. Lakini kwa wazalendo wakweli kamwe haiwezi kusahaulika.
 
Ni taasisi gani inaweza kuyafanya hayo?
MUHAS?
UDSM?
SUA? Hawa wapo busy na panya wa mabomu
... kwa msaada wa kifedha, kitaaluma na usimamizi wa MABEBERU!
1625434868641.png
 
kuhakikisha kuwa pendekezo la kuwa na kiwanda cha chanjo linapewa kipaumbele cha haraka na kuhakikisha tunakuja na chanjo yetu kama watanzania ambayo itapitia michakato ya haraka na kutuletea chanjo ya corona
Hahahaha...
MATAGA bhana!
Eti kiwanda cha chanjo haraka.

Yaani ni kama mtoto wa miaka 2 aseme anataka kuzaa mtoto wake haraka sana!!!

Hivi mchakato wa kupatikana chanjo unaujua?!
 
Kwa vyovyote vile Tanzania inapigania ukombozi wa pili unaolenga kujitegemea kimaamuzi, kiuchumi, kiutamaduni na kihuduma.

Tanzania iliingia uchumi wa kati mapema kabla ya muda iliyojipangia hii ilitokana na usimamizi na kujiamini kwa Jemadari wetu hayati John Pombe Magifuli .

Magufuli aliletwa kutuaminisha kuwa na sisi ni viumbe wa Mungu kama walivyo wenzetu wa magharibi na mashariki.

Kamati imetoa mapendekezo (sio maagizo) kwa Rais, Serikali na watanzania.bado tuna fursa sasa ya kuamua nini tufanye.

kwangu mimi pendekezo namba 7 la kamati iliyoundwa kuhusu covid ni pendekezo muhimu na linalozingatia msimamo wetu na Hayati Rais wetu Magufuli.

Katika kumuenzi ni muhimu sana kuhakikisha kuwa pendekezo la kuwa na kiwanda cha chanjo linapewa kipaumbele cha haraka na kuhakikisha tunakuja na chanjo yetu kama watanzania ambayo itapitia michakato ya haraka na kutuletea chanjo ya corona kwa hisani ya watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mkapa kafanya mambo mengi makubwa hatujawasha kumuenzi embu tuweni na heshima bas
 
Kwa vyovyote vile Tanzania inapigania ukombozi wa pili unaolenga kujitegemea kimaamuzi, kiuchumi, kiutamaduni na kihuduma.

Tanzania iliingia uchumi wa kati mapema kabla ya muda iliyojipangia hii ilitokana na usimamizi na kujiamini kwa Jemadari wetu hayati John Pombe Magifuli .

Magufuli aliletwa kutuaminisha kuwa na sisi ni viumbe wa Mungu kama walivyo wenzetu wa magharibi na mashariki.

Kamati imetoa mapendekezo (sio maagizo) kwa Rais, Serikali na watanzania.bado tuna fursa sasa ya kuamua nini tufanye.

kwangu mimi pendekezo namba 7 la kamati iliyoundwa kuhusu covid ni pendekezo muhimu na linalozingatia msimamo wetu na Hayati Rais wetu Magufuli.

Katika kumuenzi ni muhimu sana kuhakikisha kuwa pendekezo la kuwa na kiwanda cha chanjo linapewa kipaumbele cha haraka na kuhakikisha tunakuja na chanjo yetu kama watanzania ambayo itapitia michakato ya haraka na kutuletea chanjo ya corona kwa hisani ya watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Raisi wa kuenziwa ni mmoja tu tangu tupate uhuru. Hawa wengine wamefanga mazuri lakini wa kuenziwa. Mkapa alifanya mazuri pia Kwa kujenga taasisi imara kama TRA, TANROAD etc. Awamu ya Tano was worse. Even tunatakiwa tusiikumbuke kabiara. Thanks Samia kutoka kujenga nidhamu ya kazi si kumwogopa mtu
 
Raisi wa kuenziwa ni mmoja tu tangu tupate uhuru. Hawa wengine wamefanga mazuri lakini wa kuenziwa. Mkapa alifanya mazuri pia Kwa kujenga taasisi imara kama TRA, TANROAD etc. Awamu ya Tano was worse. Even tunatakiwa tusiikumbuke kabiara. Thanks Samia kutoka kujenga nidhamu ya kazi si kumwogopa mtu
naongelea pendekezo la kamati namba 7
 
Wazee wa legacy uchwara.

Siku hizi mmepungua nguvu kabisa.

Mmekata pumzi mapema sana.

Kuna lile jinga linajiita nigastra nani sijui linaanzisha nyuzi hata mia kwa saa.

Naye kakata pumzi.

Mdogomdogo legacy uchwara ya mwendazake itasahaulika.
Legacy ya mtu haitengenezwi kwa jf,ni matendo yako kwenye jamii,
 
Wazee wa legacy uchwara.

Siku hizi mmepungua nguvu kabisa.

Mmekata pumzi mapema sana.

Kuna lile jinga linajiita nigastra nani sijui linaanzisha nyuzi hata mia kwa saa.

Naye kakata pumzi.

Mdogomdogo legacy uchwara ya mwendazake itasahaulika.
Ngoja legacy ya mwendazake aliyefanya mambo makubwa isahaulike, tubaki na legacy ya yule lafa anayeshikishwa ukuta kule ubeleji ambaye hajafanya kitu chochote cha maana.
 
Back
Top Bottom