mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Watanzania pole kwa msiba mzito wa kiongozi wetu Mh.Rais Mstaafu Ben Mkapa.
Nashauri ili tuendelee kumuenzi Kiongozi wetu basi Mamlaka husika ziupe jina ule Uwanja wa Michezo alioujenga ikiwa ni Kumbukumbu yake.
Nashauri ili tuendelee kumuenzi Kiongozi wetu basi Mamlaka husika ziupe jina ule Uwanja wa Michezo alioujenga ikiwa ni Kumbukumbu yake.