Ili Kulinda Heshima ya Kosa Lililotokea Mmoja Akatae Uteuzi. Awe Nani?

Dr. Posi alishateuliwa na kuapishwa. Hata akiwa balozi bado anabaki na ubunge hadi mwisho kwani Raisi hana mamlaka ya kumtengua ubunge
 
Atakayeutema ubunge atasindikizwa na nani kwa kumshauri jamaa "vibaya"

Naona macho makali yataelekezwa kwa mwanasheria Mkuu wa serikali,akinusurika hapa,basis,alizaliwa siku ya wapendanao

Masaju alikua anaona Wabunge wakiteuliwa Kama tunavyoona sisi Press release ya Grayson Msigwa kwny Wasap sasa angefanya nini Hata Kama tungekuwa sisi ?
 
Huyu Masaju hatolewiii ni zama zao sasa hata akiharish ataambiwa amejamba tuuuu

Kama alishauri Jamaa akakaza au Jamaa aliteua juu kwa juu yeye afanyeje ?

Unafiki wa kukimbilia kulaumu Wasaidizi wa Rais uishe Kama yeye ndo kakosea tuseme Mshua hapa uliteleza badala ya kusingizia Wasaidizi Kwan hao Wasaidizi si kachagua Mwenyewe ?
 
Mkuu ila kwa vile Posi alikwisha apa kuwa mbunge uteuzi wake wa ubalozi hauwezi kuondoa uvunjifu wa katiba uliofanyika kwani idadi iko pale pale. Labda ajiuzulu kabla hawa hawajaapishwa.
Kwa vile suala la kujiuzulu ni la hiari na limekuja baada ya uteuzi kufanyika, bado tunapaswa kumuuliza bwana mkubwa kwa nini huheshimu katiba? Jee tukushtaki Bungeni 2/3 wakuteme?
Mkuu haya maamuzi ya kumtoa Posi yamezaa mjadala mpana zaidi, ni kama magufuli amemwaga petrol kwenye moto.
 
Chakaza tayari Magufuli amegundua kachemka kamtoa bunge mmoja mwanaume wa viti maalum Posi na kumpa ubalozi.

Hakika mmemkomalia hadi ame-surrender.
Mkuu bado tatizo lipo pale pale ?for that case assume Mh ameteua wabunge kumi baada ya muda nawapa kazi nyengine ,je sheria itaniruhusu kuteua wengine kumi ? Replacement inaruhusiwa ?
 
Ofisi ya mwanasheria mkuu hawakuliona kosa hilo?

One head must roll
Mimi kwa mawazo yangu binafsi naona kama kuna shida mahali! hasa kwenye system either there is no alignment between the appointing authority with legal advisers or legal advisers are not doing there job well maybe of the two
 
Sisi tunakimbilia kwa wasaidizi.....maana kimantiki huwezi kuteua bila kushirikisha wasaidizi wako.....wako wengi tu....anzia tiss hadi wanasheria ...kama alikataa ndio vizuri sasa ameona kuwa nchi haiongozwi kw utashi na visasi ni katiba!!! La sivyo asingeweka wasaidizi awe mwenyewe! Wasaidizi wamempoteza FJ...hakuna mwingine wa kulaumiwa
Kama alishauri Jamaa akakaza au Jamaa aliteua juu kwa juu yeye afanyeje ?

Unafiki wa kukimbilia kulaumu Wasaidizi wa Rais uishe Kama yeye ndo kakosea tuseme Mshua hapa uliteleza badala ya kusingizia Wasaidizi Kwan hao Wasaidizi si kachagua Mwenyewe ?
 
Sisi tunakimbilia kwa wasaidizi.....maana kimantiki huwezi kuteua bila kushirikisha wasaidizi wako.....wako wengi tu....anzia tiss hadi wanasheria ...kama alikataa ndio vizuri sasa ameona kuwa nchi haiongozwi kw utashi na visasi ni katiba!!! La sivyo asingeweka wasaidizi awe mwenyewe! Wasaidizi wamempoteza FJ...hakuna mwingine wa kulaumiwa
Hakuna aliyempoteza, labda humjui "BWANA YULE."
 
Kichekesho ni rais akishamchagua mtu kuwa mbunge na mbunge kuapishwa hawezi kutengua ubunge wake.......

Nashauri hawai haraka sana kutengua.....

Akirupuka anavunja katiba tena.


Sisi tuliwaambia huyu haijui katiba ya nchi watu Mara mna wivu.....

Haya Sasa kaisigina mazima.........
As long as hakuna aliyeapishwa....it is not a big deal...it is curable
 
Atakayeutema ubunge atasindikizwa na nani kwa kumshauri jamaa "vibaya"

Naona macho makali yataelekezwa kwa mwanasheria Mkuu wa serikali,akinusurika hapa,basis,alizaliwa siku ya wapendanao
What if hakushirikishwa na yeye aliona barua ya Msigwa Kama wewe?
 
What if hakushirikishwa na yeye aliona barua ya Msigwa Kama wewe?
Ajitokeze sasa asafishe jina lake kwa kusema wazi kuwa ushauri wangu hausikilizwi au hashirikishwi. Hii itatunza heshima yake ya kitaaluma.
 
Back
Top Bottom