KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Nimekuwa mbwa kwa kukueleza huo ukweli?Mbwa wewe
Sina shida kabisa na hilo.
Nimekuwa mbwa kwa kukueleza huo ukweli?Mbwa wewe
Kuna watu mnapenda kupick fight zisizo na ulazimaMbwa wewe
Wewe unafanya nini hapaKuna watu mnapenda kupick fight zisizo na ulazima
Ni kweli, nilikuwa namaanisha mkono na mask kipi rahisi kuzuia hayo maambukizi kwa njia ya mate.Ili maji maji yako ya chafya yasi sambaye mbali kama umesha adhirika na kusababisha mambukizi kwa wingine!
Haya bwana nilikuwa kama msuluhishi, ila najua utaniuliza kama walivyomuuliza Musa "Nani kakuweka kuwa msimamizi wetu?"Wewe unafanya nini hapa
HahahahhahaWewe ni mnafiki tu so yangu ndio uliiona Ina shida, yeye alivyoniita mjinga mbona hukumquote wakati mi kule juu nilifanya joke tu, mbwa nyie
Huna hadhi ya usuluhishi
Kimbelembele tu
Mask ya nguo inaweza zuwia usiambukize kwa wepesi! Ila kirusi kwenye nguo wanasema kanaishi masaa 12!!Haya bwana nilikuwa kama msuluhishi, ila najua utaniuliza kama walivyomuuliza Musa "Nani kakuweka kuwa msimamizi wetu?"
Ni kweli kabisa hakuna njia ya kuzuia pasee ila njia zote ni kwaajili ya kupunguza hayo maabukiziMask ya nguo inaweza zuwia usiambukize kwa wepesi! Ila kirusi kwenye nguo wanasema kanaishi masaa 12!!
Kwenye ngozi ya mwili ni dakika chache!!
Kwenye plastic Adi siku 9!!!
Kwenye karatasi siku 4 Adi 5!!
Kwenye hewa vinaishi 45dk
Glass na chuma siku 5!!!
Changa moto ni kubwa mkuu tuna penye kwenye tundu la sindano!!
Naona kama material ya kitenge ni mazuri kuwa nyuzi zake zimeshikana vizuri ila nahisi changamoto ni katika upumuaji sijajaribu ila nitajaribuMkuu, 'Saint Ivuga' nipo tayari kabisa kukubaliana na wewe kabisa iwapo unazo takwimu za kulinganisha hizi barakoa zinazotengenezwa mitaani na hiyo niliyovumbua mimi ya kanga na vitenge katika kuzuia coronavirus. Vinginevyo, nasimama na kanga/vitenge kuwa vifaa bora kabisa kuzuia corona.
Tupia picha tuone inavyokaaZa mama zao ndio nzuri hasa zilizotumika kidogo halafu hazijafuliwa na sabuni
Huwezi kushona barakoa mtaan kiholela. Labda za kuzuia vumbi ila sio kuzuia Virus
Tatizo watu wengi hukimbilia kucomment bila kusoma maelezoMkuu ndio maana tukaitaka serkali kutoa mwongozo kuliko kukaa kimia nakuhakikishia watu watapokea virus kutokana na kutumia barakoa zisizo na viwango uku mtumiaji akijiona yuko salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutumie picha tuone ilivyokutoaChupi tuu zinatosa sana