Upinzani ulipata kibano kikali kwa miaka yooote ya mwendazake, wengine wakaponea chupuchupu kuuwawa, wengine ni wakimbizi n.k kwa hiyo wanahitaji muda ku recover. Unapowalaumu ni kama walilala makusudi.Kujenga nchi tunahitaji upinzani Imara, sio upinzani huu wa sasa uliopotea