Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Unapoongoza watu ambao wanakuzidi elimu kuna changamoto yake, unakuwa hujiamini, unakuwa mwoga na hatimaye kushindwa kufanya maamzi sahihi.
Ifike mahala wafanyakazi waliojiendeleza kielimu wapewe ukuu wa idara.
Mfano:
1- Walimu Wakuu wa shule za musingi wawe na elimu ya degree, wenye degree wakiisha ndipo wapewe wenye diploma. Kuna walimu wengi wa Grade A waliojiendeleza lakini ukuu wa shule wanapewa wa Cheti huku wa degree wakiachwa.
2- Wakuu wa Shule za Sekondari wawe na elimu ya masters, hawa wakiisha basi wapewe wenye degree lakini wawe na uzoefu wa kazi angalau zaidi ya miaka kumi.
3- Wakuu wa mahosipitali na vituo vya afya wawe na elimu ya juu kuliko wafanyakazi wengine katika kituo husika.
NB. Hili pia litumike katika idara zote ili Kuipa hadhi elimu.
Ifike mahala wafanyakazi waliojiendeleza kielimu wapewe ukuu wa idara.
Mfano:
1- Walimu Wakuu wa shule za musingi wawe na elimu ya degree, wenye degree wakiisha ndipo wapewe wenye diploma. Kuna walimu wengi wa Grade A waliojiendeleza lakini ukuu wa shule wanapewa wa Cheti huku wa degree wakiachwa.
2- Wakuu wa Shule za Sekondari wawe na elimu ya masters, hawa wakiisha basi wapewe wenye degree lakini wawe na uzoefu wa kazi angalau zaidi ya miaka kumi.
3- Wakuu wa mahosipitali na vituo vya afya wawe na elimu ya juu kuliko wafanyakazi wengine katika kituo husika.
NB. Hili pia litumike katika idara zote ili Kuipa hadhi elimu.