Ili kufanikiwa, unahitaji nini kati ya kufanya kazi kwa bidii ua kujuana na watu?

Kadosh

Senior Member
May 6, 2021
168
250
Wadau naomba kuuliza kuhusu hii kanuni,

Je, ni kufanya kazi kwa bidii au connection ndivyo vinavyomsaidia mtu kupanda ngazi, kuna mmoja kaniambia hapa kama hard work pays basi punda wote watakuwa matajiri.

Na pia akaniambia unawaona paka hawafanyi kazi lakini wanaishi kama wafalme, akaongeza tena kwenye maisha asikudanganye mtu, its not about hard work mkuu, its about connection, je mna mifano ya watu waliofanikiwa kwa hard work bila connection?

Naiomba tafadhali.
 
It's all about smartness. Ukiwa smart utapata connection, pia ukiwa smart utajua wapi paku-apply hardwork.

Hardwork tu huwezi toboa bila kuwa smart.

Connection, hakuna mtu anayehitaji kutoa fursa kwa mtu asiye na uwezo wa kujiongeza au uwezo wa kufanya kazi husika vizuri.
 
Madem wengi wametoboa sababu ya mbunye mzee nikutajie na hawana usmart wowote
 
Wengine wametoboa kwa kujupendekeza tu na kuwakandia wengine
 
Una hitaji Mwenyezi MUNGU hata ukijituma kwa juhudi zote bilaa Mungu hutoboii kijana, ata ukiwa na connection bila MUNGU hutuboi... unaweza shika pesa kwa mda then inakuja kupotea na hujafanya lolote.
 
Unaweza usiwe na connection yoyote na ukatoboa kinachoitajika kama uko town kama dsm ni akili yako tu ni rahisi sana kua mjanja ndani ya miezi tu unaweza ukawa unajua kila kitu na ukawa babilon watu wakajua una pesa kumbe timing tu ..akili ndio ya kuichezesha.
 
unaweza usiwe na connection yoyote na ukatoboa kinachoitajika kama uko town kama dsm ni akili yako tu ni rahisi sana kua mjanja ndani ya miezi tu unaweza ukawa unajua kila kitu na ukawa babilon watu wakajua una pesa kumbe timing tu ..akili ndio ya kuichezesha
Kweli mkuu! kwan unafanya biashara gani unipe ata wazo, coz nyie wakina sanga mpo vizuri sanaa kwenye Biashara.
 
Bila connection ndugu zangu kutoboa itagarimu kidogo!

Niko kwenye kazi yangu kwa muda was miaka 15 mpaka Sasa Kuna wadau kibao wametoka ila kilichowezesha Ni connection tu, sisi wengine pamoja na usmat, upole, huruma, bidii bado tumeambulia daraja la chini mno.

Naombeni connection wakuu mambo ya Carpenter.
 
Bila connection ndugu zangu kutoboa itagarimu kidogo!

Niko kwenye kazi yangu kwa muda was miaka 15 mpaka Sasa Kuna wadau kibao wametoka ila kilichowezesha Ni connection tu, sisi wengine pamoja na usmat, upole, huruma, bidii bado tumeambulia daraja la chini mno.

Naombeni connection wakuu mambo ya Carpenter.
Umesahau majungu na kujipendekeza
 
Mimi connection za hela huwa nazipata nikiwa bar, unakutana na watu tofauti hata huwajui, na connection zinaanzia hapo..
 
Wadau naomba kuuliza kuhusu hii kanuni,

Je, ni kufanya kazi kwa bidii au connection ndivyo vinavyomsaidia mtu kupanda ngazi, kuna mmoja kaniambia hapa kama hard work pays basi punda wote watakuwa matajiri.

Na pia akaniambia unawaona paka hawafanyi kazi lakini wanaishi kama wafalme, akaongeza tena kwenye maisha asikudanganye mtu, its not about hard work mkuu, its about connection, je mna mifano ya watu waliofanikiwa kwa hard work bila connection?

Naiomba tafadhali.
Fanya kazi kwa bidiix1000000000000,lima kiangaz na masika,fuga kiangazi na masika,Tengeneza bidhaa bora na kwa wingi kadri watu wanavyohitaji ili wewe ndio utafutwe..Tengeneza mfumo wako kamwe usiingie kwenye mfumo ambao wametengeneza wengine maana utaanza kuona connection ni kitu cha maana..na kumbe hakuna connection bila bidii.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom