Kwanini tuwe na mashaka na wasiwasi,
Ambao sisi wenye tunaweza kujiepusha nao?
Ni wakati muafaka sasa vyama vya siasa kujiandaa na serikali ya umoja wa kitaifa!
Ni muhimu sana, coz in both political parties kuna viongozi wazuri sana..
CCM tunaviongozi wazuri, mf. Mwakyembe, Sitta, Magufuli and alike! hawa hata kama upinzani utachukua nchi bado kuna haja ya kuwajumuisha katika muundo wa serikali
Wapinzani peke yao hawataweza kuunda serikali yenye mashiko..
Napigia debe serikali ya umoja wa kitaifa, kwa mustakabali wa amani ya Tanzania!!
cc,
majebere, Ritz, chama, HAMY-D
Ambao sisi wenye tunaweza kujiepusha nao?
Ni wakati muafaka sasa vyama vya siasa kujiandaa na serikali ya umoja wa kitaifa!
Ni muhimu sana, coz in both political parties kuna viongozi wazuri sana..
CCM tunaviongozi wazuri, mf. Mwakyembe, Sitta, Magufuli and alike! hawa hata kama upinzani utachukua nchi bado kuna haja ya kuwajumuisha katika muundo wa serikali
Wapinzani peke yao hawataweza kuunda serikali yenye mashiko..
Napigia debe serikali ya umoja wa kitaifa, kwa mustakabali wa amani ya Tanzania!!
cc,
majebere, Ritz, chama, HAMY-D
Last edited by a moderator: