Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,802
- 11,961
Salaam Wakuu,
Afisa Biashara Manispaa ya Ilemela, amelalamikiwa na Wafanyabiashara wadogo kwamba anafanya kazi kwa kukomoa na hasikilizi Matatizo yao.
Wafanyabiashara wadogo Manispaa ya Ilemela wameomba Serikali iwasikilize kilio chao kuliko kuwafungia biashara.
Hapa chini ni nukuu ya Maneno ya Mfanyabiashara mdogo kati ya wengi.
"Jamii forums" tusaidieni kutupazia sauti.
Tazama wafanyabiashara wadogo tunavyo nyanyasika ndani ya Wilaya ya Ilemela Mkoa wa Mwanza. Mimi natumia kitambulisho cha ujasiliamali na nimeanza biashara majuzi tu, ajabu afisa biashara alipita akiwa na mgambo pasipo hata kunipa elimu akafika nakunitisha nakufunga biashara yangu.
Kwa mtindo huu nchi yetu inawaua wafanyabiashara wadogo.
Hatutafika hata kidogo..Tupazieni sauti tunaomba, Huyu ni afisa biashara wa manispaa ya Ilemela". Mwisho Wa kunukuu.
Tumemtafuta Afisa biashara wa Manispaa ya Ilemela bila Mafanikio. Hivyo ni vyema akatolea ufafanuzi hili tatizo ili liishe.
Afisa Biashara Manispaa ya Ilemela, amelalamikiwa na Wafanyabiashara wadogo kwamba anafanya kazi kwa kukomoa na hasikilizi Matatizo yao.
Wafanyabiashara wadogo Manispaa ya Ilemela wameomba Serikali iwasikilize kilio chao kuliko kuwafungia biashara.
Hapa chini ni nukuu ya Maneno ya Mfanyabiashara mdogo kati ya wengi.
"Jamii forums" tusaidieni kutupazia sauti.
Tazama wafanyabiashara wadogo tunavyo nyanyasika ndani ya Wilaya ya Ilemela Mkoa wa Mwanza. Mimi natumia kitambulisho cha ujasiliamali na nimeanza biashara majuzi tu, ajabu afisa biashara alipita akiwa na mgambo pasipo hata kunipa elimu akafika nakunitisha nakufunga biashara yangu.
Kwa mtindo huu nchi yetu inawaua wafanyabiashara wadogo.
Hatutafika hata kidogo..Tupazieni sauti tunaomba, Huyu ni afisa biashara wa manispaa ya Ilemela". Mwisho Wa kunukuu.
Tumemtafuta Afisa biashara wa Manispaa ya Ilemela bila Mafanikio. Hivyo ni vyema akatolea ufafanuzi hili tatizo ili liishe.