Wana JF nimepata habari kwa ndugu yangu aliyeko Mwanza kuwa watu wenye hasira wamechoma moto ofisi ya ccm na shule moja wapo, kisa kucheleweshwa kwa matokeo, ama kuchakachuliwa. Watu wa Mwanza tupeni uhakika wa hilo
Source tafadhali, tuache kuleta tetesi!!!Ilemela Dialo: 26870 Chadema: 31000+
Source tafadhali, tuache kuleta tetesi!!!