Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Umanyafu ni ukoo, au ni ujuzi wa uchawi?Wanyakyusa wanao patikana mkondo wa chuo cha magereza mpaka sehemu inatwa malasi
Umanyafu ni ukoo, au ni ujuzi wa uchawi?Wanyakyusa wanao patikana mkondo wa chuo cha magereza mpaka sehemu inatwa malasi
Ni ujuzi wa uchawi na pia huwa unaambatana na ukoo Fulani nao hutofautiana viwangoUmanyafu ni ukoo, au ni ujuzi wa uchawi?
Je naweza kwenda Huko nikatengeneza documentary ya mila na tamaduni zao, uwezo na nguvu walizonazo gizani?Ni ujuzi wa uchawi na pia huwa unaambatana na ukoo Fulani nao hutofautiana viwango
Inawezekana maana kwao uchawi sio jambo la kujificha kama ilivyo sehemu zingneJe naweza kwenda Huko nikatengeneza documentary ya mila na tamaduni zao, uwezo na nguvu walizonazo gizani?
Igogwe pia ni kwa Wamanyafu? Natamani sana niwajue, na mbaya zaidi mtandaoni hamna machapisho yanayowaelezea kwa kinaInawezekana maana kwao uchawi sio jambo la kujificha kama ilivyo sehemu zingne
Hapana ila wamepakana naoIgogwe pia ni kwa Wamanyafu? Natamani sana niwajue, na mbaya zaidi mtandaoni hamna machapisho yanayowaelezea kwa kina
Wao ukanda wao ni kisehemu kidogo japo kwa urefu ni kirefu kidogoIgogwe pia ni kwa Wamanyafu? Natamani sana niwajue, na mbaya zaidi mtandaoni hamna machapisho yanayowaelezea kwa kina
Sawa mkuu ukiamua kwenda huko nenda tu mpaka chuo cha magereza ukifika huko ndio utakutana na wazee watakuambia kila kitu kuhusu hawa jamaaAsante sana
MTU anatafuta kufa huku akijionaSawa mkuu ukiamua kwenda huko nenda tu mpaka chuo cha magereza ukifika huko ndio utakutana na wazee watakuambia kila kitu kuhusu hawa jamaa
Hawaui mkuu huko atapata taarifa kwa ushirikiano kabisaMTU anatafuta kufa huku akijiona
Hapo anatakiwa ajitahidi afutilie mila na damaduni uchawi ukiwa ndani ya hizo milaKwa Mara ya kwanza uchawi utakuwa documented Tanzania
Hata video official ya serikali huamini?
DuhWandali ni wachawi sana hao, ndo wanaofanya uchawi Sumbawanga