Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,432
- 7,092
Zanzibar ipi ..Ni kweli Zanzibar hakuna kabisa mbu
Mbu wapo na maralia ipo...ila ukienda hospital kupima damu unaambiwa..huna..
Lakini unapewa dawa za kutibu maralia na unapona!
Watu wanatumia muarobaini ..
Sema kuna afadhali ya hivyo hivyo..