toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Ile opereshen tokomeza mbu Tz imeishia wapi kiwanda kilzinduliwa na pinda pale pwani
Mheshimiwa pinda nakumbuka alizindua kiwanda cha kutengeneza viuatilifu vya mbu mkoani pwani nakumbuka
Na mkakati ulikua ni kunyunyuzia nchi nzima ili kuwaangamiza mbu na malaria ibakie historia
Hili liliishia wapi?
Soma zaidi
= > Mizengo Pinda: Serikali imedhamiria kumaliza ugonjwa wa malaria, Azindua Kiwanda cha wadudu
Mheshimiwa pinda nakumbuka alizindua kiwanda cha kutengeneza viuatilifu vya mbu mkoani pwani nakumbuka
Na mkakati ulikua ni kunyunyuzia nchi nzima ili kuwaangamiza mbu na malaria ibakie historia
Hili liliishia wapi?
Soma zaidi
= > Mizengo Pinda: Serikali imedhamiria kumaliza ugonjwa wa malaria, Azindua Kiwanda cha wadudu