Witmak255
JF-Expert Member
- Feb 5, 2019
- 3,264
- 5,403
Wakazi wa manyoni na wajuzi wenye taarifa za uhakika mtujuze Kuhusu huyu DED, kesi yake imefikia wapi?
Na je alitenguliwa au bado Yuko kwenye Ofisi za umma?
Tangu mauaji yalipotekea huko manyoni baada ya DED na msafara wake kuvamia kanisa na kutekeleza uovu wao, taarifa hazikuwa wazi sana na hata zilipotoka kwa kuchelewa zilikinzana, sio magazeti, TV Wala radio hakuna sehemu yeyote utakapokuta habari ya kina kuhusu kesi hii ya mauaji inayomkabili DED.
Huyu DED inasemekana ni ndugu wa damu na namba one, hebu Wana jf wajuzi tujuzeni huyu mkurugenzi bado yuko ofisini?
Na vipi kesi ilishafutwa?
Na je alitenguliwa au bado Yuko kwenye Ofisi za umma?
Tangu mauaji yalipotekea huko manyoni baada ya DED na msafara wake kuvamia kanisa na kutekeleza uovu wao, taarifa hazikuwa wazi sana na hata zilipotoka kwa kuchelewa zilikinzana, sio magazeti, TV Wala radio hakuna sehemu yeyote utakapokuta habari ya kina kuhusu kesi hii ya mauaji inayomkabili DED.
Huyu DED inasemekana ni ndugu wa damu na namba one, hebu Wana jf wajuzi tujuzeni huyu mkurugenzi bado yuko ofisini?
Na vipi kesi ilishafutwa?