Siku za nyuma kulikuwa na manneno mengi sana yanazungumzwa kuhusu uongozi wa juu cdm kutotilia mkazo ujenzi wa miundo mbinu ya chama ha haswa majengo ya ofisi za chama kimikoa na hata wilayani.Ilionekana pengine ni kukosa mikakati ama uchakachuliwaji wa fedha na ruzuku zinazoingia chamani.
Katika majibu yake wakati fulani Mh.Mbowe alisema msingi wa cdm kwa sasa upo kwenye kujenga Fikra/fahamu za watanzania ili wajitambue katika kudai haki zao na katika kuona umuhimu wa kufanya mageuzi. Kwa matokeo haya ya uchaguzi wa serikali za mitaa hata kama japo yanaweza yasiwe 50/50, lakina naanza kuukubali uamuzi huu wa Mbowe wakishirikiana na Dr.Slaa.Kwa kweli Watz. wameanza kuamka na kuona umuhimu wa mageuzi ya kisiasa kwa mustakabali wa maisha yao.Yaani mpaka korogwe vijijini wanachagua upinzani!!!! Brovo Mh.Mbowe,!
I can just say that is a power of positive thinking.
Katika majibu yake wakati fulani Mh.Mbowe alisema msingi wa cdm kwa sasa upo kwenye kujenga Fikra/fahamu za watanzania ili wajitambue katika kudai haki zao na katika kuona umuhimu wa kufanya mageuzi. Kwa matokeo haya ya uchaguzi wa serikali za mitaa hata kama japo yanaweza yasiwe 50/50, lakina naanza kuukubali uamuzi huu wa Mbowe wakishirikiana na Dr.Slaa.Kwa kweli Watz. wameanza kuamka na kuona umuhimu wa mageuzi ya kisiasa kwa mustakabali wa maisha yao.Yaani mpaka korogwe vijijini wanachagua upinzani!!!! Brovo Mh.Mbowe,!
I can just say that is a power of positive thinking.