Nakumbuka ilianza mzaha mzaha kama hivi. Huku wanafukuzwa, kule msajili anawatambua.
Mwisho mgawanyo ukatokea na sote tuliona kilichotokea watu wakagawana fito na CUF ikabaki hii ilivyo! Sisemi CHADEMA nayo itakuwa kama CUF ila naona hii trailer inavyoanza ni kama movie ile Ile.
Kipindi kile alitumika "msajili" kumtambua Sakaya na Lipumba na pesa zote za ruzuku, huku Maalim akisema hatambui chochote. Safari hii wamevuliwa uanachama "Spika" anasema atawalinda tena ikibidi "badamu patamwagika"
Hotuba ya Halima haina tofauti na ile ya Sakaya. Next ameshasema yeye ni CHADEMA kindaki ndaki. Kama vile Lipumba na maalim kila mmoja akidai CUF ni yake! Sasa Kuna vitu viwili vya kutilia mashaka.
1. Panya anapomkebehi paka hadharani na
2. Paka anapomsifia panya hadharani
Ngoja tuone
Mwisho mgawanyo ukatokea na sote tuliona kilichotokea watu wakagawana fito na CUF ikabaki hii ilivyo! Sisemi CHADEMA nayo itakuwa kama CUF ila naona hii trailer inavyoanza ni kama movie ile Ile.
Kipindi kile alitumika "msajili" kumtambua Sakaya na Lipumba na pesa zote za ruzuku, huku Maalim akisema hatambui chochote. Safari hii wamevuliwa uanachama "Spika" anasema atawalinda tena ikibidi "badamu patamwagika"
Hotuba ya Halima haina tofauti na ile ya Sakaya. Next ameshasema yeye ni CHADEMA kindaki ndaki. Kama vile Lipumba na maalim kila mmoja akidai CUF ni yake! Sasa Kuna vitu viwili vya kutilia mashaka.
1. Panya anapomkebehi paka hadharani na
2. Paka anapomsifia panya hadharani
Ngoja tuone