HII BENDI MBONA IMEKOSA UMAARUFU SIKU HIZI
Nauliza swali kama mtu nisiye na chama, je nyinyi matakwa yenu ni yapi? Mnataka kuwepo vyama vya upinzani au mnataka turudi kwenye chama kimoja kama tulivyokuwa tangu 1962 mpaka 1992? Mjibu bila mihemko.
Mimi kwa upande wangu naona turudi kwenye chama kimoja sababu nchi yetu bado haipo tayari kukabili ushindani wa vyama vingi. Wenzetu Kenya ingawa wamejitahidi lakini tuliona damu zilivyomwagika sababu ya hilo.
Nchi pekee ambayo imeingia kwenye vyama vyingi bila matata ni Zambia na tunamuona baba yetu Kaunda bado anapeta. Malawi wamejitahidi sana vile vile lakini sisi bado sana. Naona tubaki na chama kimoja mpaka watu wapate elimu tosha.
Ndiyo na nasoma vidudu mpaka tukapewa vikombe vya kijani na njano na vyeusi vya uhuru. Nilikuwepo wakati tunasherekea uhuru mimi mama ameniweka chini amembeba marehemu mdogo wangu na mimi nikapewa kikombe cha njano ambacho siku mtoto wangu wa kwanza naoa nilimpa kama zawadi ili ajue kuwa nilikuwepo wakati tunapata uhuru 1962.Ulikuwepo miaka ile ya 62? Tuanzie hapo kwanza bila Mpumuo.
HII BENDI MBONA IMEKOSA UMAARUFU SIKU HIZI
View attachment 1228665
nonsensePima jitahada zako za kutengeneza hii post na idadi ya watu watakaounga mkono (kati ya hao toa angalau nusu kwa kuwa kuna waimba mapambio wenzio wana kwa uchache ID 5) utapata majibu ya kiwango cha kukubaliwa Jiwe nchi hii.
Majibu utakayoyapata ni afadhali mara 100 kuliko ningekuambia uchanganye na mwitikio wa watu kujiandikisha kupiga kura.
Update: tangu ulipo-post huu utumbo wako jana umepata wachangiaji (achilia mbali uliowategemea wakupe like) wangapi?
That should tell you a lot.
Maajabu mnaisakama cdm wakati ccm yenu iko mahututi.HII BENDI MBONA IMEKOSA UMAARUFU SIKU HIZI
View attachment 1228665
Utachukua form na wewe mamii? Angalau ya viti maalumNawaza tu mwakani sijui watatuletea Babu gani. Mana yule aliyewaingiza cha kike alishajirudiaga kwao.
Hapana Ses hayo yana wenyewe.Utachukua form na wewe mamii? Angalau ya viti maalum
Ningekupa kura yangu mamiiHapana Ses hayo yana wenyewe.