sijawahi ona uwongo kama huu,eti jk ametimiza ahadi?labda ushuz.hakuna alichofanya mana pesa za barabara zimetolewa mara nyini na benk ya dunia zikaliwa,ameingia lema wakaona tukila tutaliwa,ndo lami ikawekwa.muache uwongo magamba.LEMA alimkwamisha sana Rais Kikwete kutuletea maendeleo Arusha, Tungekuwa na Mbunge mwenye akili timamu tungefika mbali zaidi ya hapa. Hongera Rais.