Ilani ya chama ni mkakati wa kuleta maendeleo kwa wananchi ambao umebuniwa na chama kama kitatwaa madaraka. Kinachokosekana hapa ni dira ya kitaifa ya maendeleo ambayo itatakiwa kufuatwa na kila chama kiingiapo madarakani. Hivyo ni sahihi kabisa kutumia ilani ya chama katika utekelezaji wa maendeleo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.