Uchaguzi 2020 Ilani ya CHADEMA haijitoshelezi!

Status
Not open for further replies.
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Mleta post ,
Kama ilani ya Chadema haifai wewe unawashwa na nini?
MATAGA wenzio wamechanganyikiwa,
Wanasema hawafanyi kazi za kwenye mitandao,
Leo wameomba kura kwenye Twitter baada ya kukwama kwenye vyombo vyote vya Habari na mabango nchi nzima.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ilani ya chadema haikuandikwa na watanzania iliandikwa ulaya ndio maana wanasema hawataki maendeleo ya vitu pia hawatakusanya kodi ila wataweka rehani madini yetu ili wakope wapate pesa za kuendesha serikali pia wao hawataki umoja wa kitaifa wanasema nchi wataivunja vipande vipande kwenye majimbo ambapo raisi hatakuwa na nguvu kwenye majimbo

pia wanatamka serikali itakuwa marufuku kufanya biashara kila kitu kitaendeshwa na sekta binafsi wanataka turudi kule kule kwa mifisadi ya umeme ya IPTL,RICHMOND NK
Mbona nyie pia mnaendaga?
 

Attachments

  • 2020-10-03 11.21.32.png
    2020-10-03 11.21.32.png
    1,017.4 KB · Views: 1
Ni wakati muafaka sasa kwa Serikali kuanzisha Mahakama ya Wajinga, kama tutahangaika na wahalifu wa aina nyingine tukawaacha wajinga waendelee kupita mtaani basi taifa hili halitapiga hatua yoyote.
 
Genge la wahuni wa saccos Ufipa, Wanataka kwenda ikulu ni dharau kwa watanzania wote wazalendo. Kama ruzuku, michango ya wabunge, pesa ya mifuko ya majimbo mnakula mkikabidhiwa kodi zetu si mtakula mpaka na miguu ninyi. Bado siku 11,mpate mkong'oto wa karne.
 
Sasa hii ilani unayosema ni takataka inasababisha mgombea wenu wa CCM amefikia hatua ya kupiga magoti kuomba kura.
 
The Dictator is feeling too much heat to an extent that even though he hides in the freezer, still he will be feeling much more heat. He won't stop the waves of change. Chdem forever
 
Kun ilani takataka kama ya CCM, ililiyosema kuwa itagawa million 50kila kijiji na hawakufanya hivyo! Takataka kabisaaa.
 
Ilani ya CCM imeelezea vizuri sana habari za ubaguzi wa Rangi. Ndiyo maana mwenyekiti anahubiri ubaguzi huo kwa umahiri mkubwa sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom