Msomaliii
Senior Member
- Jul 24, 2018
- 189
- 256
Mkuu nimekuelewa kinoma.Ukiwa mzazi ni muhimu kupeleka mwanao shule
Mkuu nimekuelewa kinoma.Ukiwa mzazi ni muhimu kupeleka mwanao shule
tooUkiwa mzazi ni muhimu kupeleka mwanao shule
Sio ndefu kama ile yenye 50mil kwa kila kijijiIlani ya chadema ni fupi kama kimini cha joyce wowowo ata tiketi ya dar lux ina page nyingi kuishinda.
Mbona nyie pia mnaendaga?Ilani ya chadema haikuandikwa na watanzania iliandikwa ulaya ndio maana wanasema hawataki maendeleo ya vitu pia hawatakusanya kodi ila wataweka rehani madini yetu ili wakope wapate pesa za kuendesha serikali pia wao hawataki umoja wa kitaifa wanasema nchi wataivunja vipande vipande kwenye majimbo ambapo raisi hatakuwa na nguvu kwenye majimbo
pia wanatamka serikali itakuwa marufuku kufanya biashara kila kitu kitaendeshwa na sekta binafsi wanataka turudi kule kule kwa mifisadi ya umeme ya IPTL,RICHMOND NK
Ilani ya chadema ni fupi kama kimini cha joyce wowowo ata tiketi ya dar lux ina page nyingi kuishinda.
Wewe ndo takataka
Hiyo ilani yako ulishaisoma au unabwabwaja bila kujua unatetea nini?Vipi takataka zilizoingizwa tumboni mwako na buku 7 za Lumumba, umedhazitoa mleta mada?