Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,036
- 3,479
Wakuu,
Huu ni mtazamo kwa yaliyomo kwenye Ilani ya CCM kwa kuzingatia yafuatayo
A:
1. Rasirimali asili
2. Rasirimali Watu
3. Rasirimali Vifaa na Teknolojia
B:
1. Elimu, Ujuzi, Weledi na Taaluma
2. Ubunifu, Bidii ya kazi na kujitoa kwa manufaa ya jamii
3. Uadilifu, Nidhamu na Uaminifu
C:
1. Kusikiliza kero, kuondoa manung'uniko ya wanananchi wa ngazi zote, kuchukua ushauri ujenzi na kutambua na kuthamini juhudi za wazalishaji mali au uendeshaji huduma
2. Kuchukua hatua dhidi ya ufisadi, ubadhirifu,, wizi, udanganyifu na unyanyasaji
3. Kutoa haki dhidi ya dhuluma na kuadhibu wakosaji kwa adhabu stahiki
D:
1. Uongozi bora na wenye tija
2. Utawala wa sheria
3. Kutambua, kuboresha na kujali maslahi bora ya kila mtu anayefanya shughuli halali za ama kuajiriwa au kujiari
Kuanzia Januari 21, 2021 yafuatayo yatajitokeza
1. Viongozi kadhaa wa serikali na mashirika ya Umma watashindwa kutimiza majukumu yao ya msingi kwa kutanguliza kutibu majeraha ya nafsi zao na familia zao ndipo nafasi zao zitatenguliwa na mamlaka husika.
2. Viongozi kadhaa pamoja na baadhi ya wafanya biashara maarufu kukabiliwa na kesi za uhujumu uchumi na njama ovu dhidi ya viongozi wanaosimamia maadili.
3. Bodi za makampuni binafsi hazitazingatia mwongozo huo hapo juu ndipo uvumilivu wa nguvu kazi utakapokwisha na migogoro mikubwa kuibuka ambao utapelekea kesi nyingi kufunguliwa kwa madai ambayo wengi wao watashindwa kuyalipa hivyo kuamua kufunga biashara au kutangaza kufilisika.
Mtazamo uko mezani mbele za nguli wa fikra kutafakari matokeo na athari zake kwa kushauri mbinu mtambuka kuepuka kutumbukia kwenye mtego huo.
Huu ni mtazamo kwa yaliyomo kwenye Ilani ya CCM kwa kuzingatia yafuatayo
A:
1. Rasirimali asili
2. Rasirimali Watu
3. Rasirimali Vifaa na Teknolojia
B:
1. Elimu, Ujuzi, Weledi na Taaluma
2. Ubunifu, Bidii ya kazi na kujitoa kwa manufaa ya jamii
3. Uadilifu, Nidhamu na Uaminifu
C:
1. Kusikiliza kero, kuondoa manung'uniko ya wanananchi wa ngazi zote, kuchukua ushauri ujenzi na kutambua na kuthamini juhudi za wazalishaji mali au uendeshaji huduma
2. Kuchukua hatua dhidi ya ufisadi, ubadhirifu,, wizi, udanganyifu na unyanyasaji
3. Kutoa haki dhidi ya dhuluma na kuadhibu wakosaji kwa adhabu stahiki
D:
1. Uongozi bora na wenye tija
2. Utawala wa sheria
3. Kutambua, kuboresha na kujali maslahi bora ya kila mtu anayefanya shughuli halali za ama kuajiriwa au kujiari
Kuanzia Januari 21, 2021 yafuatayo yatajitokeza
1. Viongozi kadhaa wa serikali na mashirika ya Umma watashindwa kutimiza majukumu yao ya msingi kwa kutanguliza kutibu majeraha ya nafsi zao na familia zao ndipo nafasi zao zitatenguliwa na mamlaka husika.
2. Viongozi kadhaa pamoja na baadhi ya wafanya biashara maarufu kukabiliwa na kesi za uhujumu uchumi na njama ovu dhidi ya viongozi wanaosimamia maadili.
3. Bodi za makampuni binafsi hazitazingatia mwongozo huo hapo juu ndipo uvumilivu wa nguvu kazi utakapokwisha na migogoro mikubwa kuibuka ambao utapelekea kesi nyingi kufunguliwa kwa madai ambayo wengi wao watashindwa kuyalipa hivyo kuamua kufunga biashara au kutangaza kufilisika.
Mtazamo uko mezani mbele za nguli wa fikra kutafakari matokeo na athari zake kwa kushauri mbinu mtambuka kuepuka kutumbukia kwenye mtego huo.