johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,663
Mambo yanaenda kasi sana.
Mkurugenzi wa TRC mh Kadogosa amesaini mkataba wa kununua vichwa na mabehewa ya treni ya umeme na kampuni ya Hyundai ya Korea.
Kadogosa amesema mara ujenzi wa SGR utakapokamilika moja kwa moja usafiri wa treni ya umeme unaanza bila ya delay
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mkurugenzi wa TRC mh Kadogosa amesaini mkataba wa kununua vichwa na mabehewa ya treni ya umeme na kampuni ya Hyundai ya Korea.
Kadogosa amesema mara ujenzi wa SGR utakapokamilika moja kwa moja usafiri wa treni ya umeme unaanza bila ya delay
Nawasalimu kwa jina la JMT!