Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,281
- 2,423
Pole sana kama ujui iloKuwa RAIS haina maana ana akili kuliko WATANZANIA wengine!!! Luck was on his side when he beeped for the position.
Pole sana kama ujui iloKuwa RAIS haina maana ana akili kuliko WATANZANIA wengine!!! Luck was on his side when he beeped for the position.
Unaseama ya Marekani na Italy hayakuhusu wakati hizo nchi ndio hutumika sana kama mifano ya kuonesha uhatari wa corona.Mkuu mimi nasemea yaliyopo hapo hayo ya Italia sijui Marekani hayanihusu wala kunisaidia ,jua fimbo ya mbali haiui nyoka.
Usijekuta huko wodini walishajamiianaDC kajibu "kistaarabu" na hakutaka lawama. Most likely ana uhakika na taarifa zote kwamba wagonjwa wamesepa ila kaogopa tu kuja kuwa quoted hapo mbele ya safari. Hali ilishachafuka.
Sasa mtu anatoroka then anarudi home kwa mumeme/mkewe/watoto ili akawaue vizuri?
Inawezekana ikawa kweli corona ni bingwa wa kumalizia au bingwa wa kusingiziwa,maana inawezakuwa maradhi tuliyonayo yanaendelea kutuondoa kama kawaida ila kwa sababu sasa kuna corona basi yeye ndio anabebeshwa mzigo.Mkuu watanzania wengi tunaumwa, si unajua corona alivyo bingwa wa kumalizia? Mfano subiri aingine Bungeni kwa kina Ndugai ,mbona bunge litajiahirisha lenyewe
Inawezekana ikawa kweli corona ni bingwa wa kumalizia au bingwa wa kusingiziwa,maana inawezakuwa maradhi tuliyonayo yanaendelea kutuondoa kama kawaida ila kwa sababu sasa kuna corona basi yeye ndio anabebeshwa mzigo.
Bro, hili balaa halina Cha mzee Wala kijana. Kuna washikaji tuu wamepata Tena ninaowajua wengi tuu. Sema Nini, studies zinaaonesha death rate among young adults is almost nil.Duh! Habari mbaya sana hii,
Hii chain itakayotengenezwa hapo duh nchi haipo salama tena hii nawaonea huruma sana wazee na wenye magonjwa mengine mwilini ni kupukutika tu.
Wacha tufe tu watakao baki watatoa historia na ushuhuda miaka ijayo.