Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
😂😂😂😂sikia ww kama hupendi hizo picha usituharibie sisi tunapenda acha watutumie tuangalie
Mara ya kwanza nilijisajili kwa jina langu la ukoo, kuna mkuu akaja PM fasta bila shaka tunatoka sehemu moja ikabidi nibadili haraka... So ikawa kila jina nitakalo taka nakuta lina mtu tayari, nikaona lemme be a gentleman...kajina kazuri ila hakaendani na matendo yako😀 si kagentleman wewe
sikia ww kama hupendi hizo picha usituharibie sisi tunapenda acha watutumie tuangalie
Tena mwambie akiona wivu ajipige yeye ajitumie, Kama simu yake yashikwa ovyo Ni tatizo lake sie halituhusu, kiufupi asitupangie
Rebe hili suala sio la Generation hayo mambo Yanafanywa mpaka na watu wazima tena wenye heshima zao , kuna Waziri nchini south Africa alifukuzwa kazi kwaajili ya skendo Kama hii ,, pia nakumbuka enzi za Facebook ilivyo kuwa hot Marehemu komba alishawahi kukutwa na sakata Kama hili , na yule binti aliye piga nae picha chafu aliamua kunywa sumu alitaka kujiua kukwepa aibuUtoto tu,una experience a lot of things,na unataka ku experiment a lot of things,ombea usipate juha in the process.....wote wanaopiga picha kama ukichunguza then utagundua hawako above 24-25,ndio ujue age ni factor...wacha wafanye wanayotaka kufanya,they will learn but in hard way..LOL
Utupu wa kwenye simu una raha yake wewe.
Nimeshatuma Sana za Google sitakagi ujingaMe mmoja alinitumiaga yake og akiwa kaipanua me nikamtumia ya kudownload
Nyuma ya pazia sasa unajijua ulivo mafia 😀😀Mara ya kwanza nilijisajili kwa jina langu la ukoo, kuna mkuu akaja PM fasta bila shaka tunatoka sehemu moja ikabidi nibadili haraka... So ikawa kila jina nitakalo taka nakuta lina mtu tayari, nikaona lemme be a gentleman...
Ila nyuma ya pazia 😁😁
Ni moja ya watu ambao hawaexist duniani. 😉Nyuma ya pazia sasa unajijua ulivo mafia 😀😀
Yani unajijua kabisa ulivo kauzu😀😀Ni moja ya watu ambao hawaexist duniani. 😉
NitakuPMYani unajijua kabisa ulivo kauzu😀😀
your surporting nonsenseBinadamu wanatofautiana sana kwenye mambo mbali mbali. Kulala nayo kuiona kila siku lakini bado kuna wengi tu wanapenda kuiona kwenye picha na wala si utoto wala ujinga. Wenyewe kama ni mke na mume au BF na GF wanafurahia tabia hiyo basi msiwaingilie kwenye maamuzi yao. Ya NGOSWE!!!!!.........
Thanks dear....I thanks jamii forum baada ya kuandika shida yangu Instead ya kukaa nayo moyoni nmepata watu wengi Sana wamenisaidia....kuna mwanasaicologia amejitolea kabisa Tena bila kulipa lap malipo yoyote Naudhuria madarasa ya counseling so far so good yananisaidia and I keep praying....pia nashukuru pia through comments za watu tofauti....kwenye that post I posted nmepata faraja Sana Kwao Mungu awabariki wote waliotumia mda wao kunishauri, kunipigia cm, kunielekeza Cha kufanya wengine wamekuwa mpaka Zaid kwangu wamenifata mpaka nilipowhat can I say I feel so luck thanks to jamii frmNmefurah kukuona umerud kuwa na furaha
your surporting nonsense
AsanteeeeBinadamu wanatofautiana sana kwenye mambo mbali mbali. Kulala nayo kuiona kila siku lakini bado kuna wengi tu wanapenda kuiona kwenye picha na wala si utoto wala ujinga. Wenyewe kama ni mke na mume au BF na GF wanafurahia tabia hiyo basi msiwaingilie kwenye maamuzi yao. Ya NGOSWE!!!!!.........
Si kweli.Utoto tu,una experience a lot of things,na unataka ku experiment a lot of things,ombea usipate juha in the process.....wote wanaopiga picha kama ukichunguza then utagundua hawako above 24-25,ndio ujue age ni factor...wacha wafanye wanayotaka kufanya,they will learn but in hard way..LOL
Ulidowmload yako?Me mmoja alinitumiaga yake og akiwa kaipanua me nikamtumia ya kudownload