Na wanaccm wamo?Nakwambia miaka mitano iliyopita imeonyesha wazi kuwa nchi hii watu wasiowaoga hawafiki 10.
Na wanaccm wamo?Nakwambia miaka mitano iliyopita imeonyesha wazi kuwa nchi hii watu wasiowaoga hawafiki 10.
Kumi wengi sana sema wawili,mimi binafsi siwezi ule ujasiri wa jamaa,alimtukana magufuli kwenye kampeni tabata nikajua mkutano ukiisha polisi wanambeba ,polisi wenyewe wakabaki wanamshangaaNakwambia miaka mitano iliyopita imeonyesha wazi kuwa nchi hii watu wasiowaoga hawafiki 10.
Mmmghhh acha unafiki, wewe si ndio ulikua unaandika against upinzani na namba ya simu juu??Kwema Wakuu!
Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.
Hivi ni kweli Tundu Lissu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzima😀😀😀 na bado akawa anaogopwa??😀😀
Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;
1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu 😀😀
Jambo hili wengi hatuliwezi.
Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
Kiongozi hawezi kuwa Kiboko Kwa kujenga sijui miundombinu kwani mtu yeyote anaweza fanya hivyo akipewa Madaraka Ila anakuwa kiboko Kwa kupitia Mateso na Hali ngumu na bado asibadilishe msimamo wake.
Ni Kama vile kina Yesu WA Nazareth, Stephano aliyepigwa mawe mpaka Kufa, kina Nelson Mandela n.k
Je, wewe ni mwanasiasa yupi unayehisi ni Kiboko ambaye Lisu ni chamtoto?
Endelea kuota^miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa^
Ni wazi unakiri kwamba hana wafuasi wowote wanaomkubali katika kizazi cha sasa. Kama walio naye leo hawamwoni kama shujaa, hatuwezi kutarajia lolote jipya kwa kizazi kijacho.
Lisu ni kiboko ndo hivyoKwema Wakuu!
Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.
Hivi ni kweli Tundu Lissu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzima😀😀😀 na bado akawa anaogopwa??😀😀
Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;
1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu 😀😀
Jambo hili wengi hatuliwezi.
Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
Kiongozi hawezi kuwa Kiboko Kwa kujenga sijui miundombinu kwani mtu yeyote anaweza fanya hivyo akipewa Madaraka Ila anakuwa kiboko Kwa kupitia Mateso na Hali ngumu na bado asibadilishe msimamo wake.
Ni Kama vile kina Yesu WA Nazareth, Stephano aliyepigwa mawe mpaka Kufa, kina Nelson Mandela n.k
Je, wewe ni mwanasiasa yupi unayehisi ni Kiboko ambaye Lisu ni chamtoto?
Jifanye kama unajikuna halafu uite kwa sauti TUNDU ANTIPHAS MUGHWAI LISSUUUUU karibu na alipolala mwenda zake hakika anaweza kutoa upara nje akakutwanga ndoo moja na kurudi kuzimu nyie nyie acheni hata BASHITE anapotaja jina la LISSU muangalieni vizuri utaona uso unajikunja ghafla yaani maana yake BOXER kama SanLG inabana na kuachia
Katangulia mbinguni akafanye nini? Yupo jehananu bwana..Aliye mpiga risasi lissu kashatangulia mbinguni ,aliyepigwa Bado anakula mema ya duniani
We kwl hamnazo kabisa, labda km ni makengeza ni mchaga mwenzio. Huoni hata haya?Kwangu wanasiasa wanaotakiwa kukumbukwa Tanzania ni Mbowe, Lissu na Maalimu seif ukiacha hawa wachumi wa matumbo yao akina nyepesi