Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Amemfanyia nani ugaidi na kituo kipi cha mafuta alipata kulipua? jinga kabisaKumbe unatambua kuwa Chadema sio malaika! Tulieni basi mnapoambiwa Mbowe anatuhuma za ugaidi.
Amemfanyia nani ugaidi na kituo kipi cha mafuta alipata kulipua? jinga kabisaKumbe unatambua kuwa Chadema sio malaika! Tulieni basi mnapoambiwa Mbowe anatuhuma za ugaidi.
Mwendazake alikufa na akina Bashite pia watu wake wote? au Mwendazake ndiyo alimpiga na risasi?Umesema ANGE..., as long as yupo hai anaweza kurahisha uchunguzi, ya nini kuhangaika wakati mtu ambaye alishuhudia tukio live yupo na anarushwa rushwa tu sehemu mbalimbali? Ishu ilikuwa angekuja kipindi cha mwendazake usalama wake ungekuwa hatarini, then why asije sasa amwage kila kitu hadharani?
Hajawahi kuhama CCM, ni mwanachama mwandamizi, more than 45 years! Na siyo CCM tu, ni mwandamizi kwenye vyombo vya usalama pia! Ndiyo maana inashangaza waliompokea na kumpa front seat kwenye vikao vikubwa kabisa vya chama overnightLakini si yupo CCM?
Classified information.Mpuuzi wewe, kwanini mlificha CCTV kamera na mkatoa askari pale eneo la viongozi?
Sasa si ufurahie kuwa mishe yenu CCM ilifanikiwa?Hajawahi kuhama CCM, ni mwanachama mwandamizi, more than 45 years! Na siyo CCM tu, ni mwandamizi kwenye vyombo vya usalama pia! Ndiyo maana inashangaza waliompokea na kumpa front seat kwenye vikao vikubwa kabisa vya chama overnight
Akina Bashite wanapumulia mashine now huo uwezo wa kumdhuru mtu wautoe wapi kwa sasa? Majanga yao tu wanashindwa kuyamaliza, kila mtu anaokoa roho yake! Hilo la Mwendazake ni utetezi uliokuwa unatoka enzi hizo why dereva hajitokeziMwendazake alikufa na akina Bashite pia watu wake wote? au Mwendazake ndiyo alimpiga na risasi?
Wewe upo vizuri kichwani mkuu!Binafsi hata mimi Lissu namkubali sana ila Mbowe na Seif hapana hawa ni watu wa fursa tu wanaocheza na akili za wafuasi wao. Ila Lissu ni namba nyingine ile.Maalim Seiph sina uhakika, hata Mbowe sina uhakika.
Ila Kwa Lisu hata adui zake wanalijua hili kuwa jamaa ni Kiboko.
Hata JPM mwenyewe akiamshwa sasa hivi aulizwe hapa TANZANIA Nani chuma atakutajia Tundu Lisu HAO wengine atakuambia ni uzani wa Kati, Lisu ni Heavy weight ambaye kama angekuwa na Jeshi tuu la watu elfu tatu lenye Mafunzo ya kijeshi sasa hivi tungeongea mengine.
Hamna cha kufurahia hapo, zaidi ni kushangaa inakuwaje chama kilichokuwa kinajinadi kina intelejensia kali sana nchi hii kikashikwa kirahisi vile na Edo na kumkaribisha front seat kwa kikao cha usiku mmoja tuSasa si ufurahie kuwa mishe yenu CCM ilifanikiwa?
Sawa mkuuHamna cha kufurahia hapo, zaidi ni kushangaa inakuwaje chama kilichokuwa kinajinadi kina intelejensia kali sana nchi hii kikashikwa kirahisi vile na Edo na kumkaribisha front seat kwa kikao cha usiku mmoja tu
Amemfanyia nani ugaidi na kituo kipi cha mafuta alipata kulipua? jinga kabisa
Jamaa hawataki kuchutama kukubali kuruka mkojo na mwishowe wakakalia kimba..Hamna cha kufurahia hapo, zaidi ni kushangaa inakuwaje chama kilichokuwa kinajinadi kina intelejensia kali sana nchi hii kikashikwa kirahisi vile na Edo na kumkaribisha front seat kwa kikao cha usiku mmoja tu
Kupigwa risasi na kubaki na character ile ile ni kudra za Mungu pekee, lakini kiboko cha kukumbuka ni jinsi alivyosimamia haki yake kuonana na wanachadema wenzake huko mlandizi hata baada ya kuzuiwa na mamlaka akabaki kwenye gari hadi haki kilipotolewa na muda mchache akanyimwa usafiri wa meli kwenda ukerewe akashuka na kupanda boti za uvuvi.Haya ndiyo yanayompa ujasiri na yatakumbukwaKwema Wakuu!
Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.
Hivi ni kweli Tundu Lissu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzima na bado akawa anaogopwa??
Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;
1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu
Jambo hili wengi hatuliwezi.
Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
Kiongozi hawezi kuwa Kiboko Kwa kujenga sijui miundombinu kwani mtu yeyote anaweza fanya hivyo akipewa Madaraka Ila anakuwa kiboko Kwa kupitia Mateso na Hali ngumu na bado asibadilishe msimamo wake.
Ni Kama vile kina Yesu WA Nazareth, Stephano aliyepigwa mawe mpaka Kufa, kina Nelson Mandela n.k
Je, wewe ni mwanasiasa yupi unayehisi ni Kiboko ambaye Lisu ni chamtoto?
Alikulipia, jisemee kivyako.MUNGU alitulipia deni la Lissu kwa mauti
Kwani ulikuwa mdogoAlikulipia, jisemee kivyako.
Lisu ni kiboko. Alionya mara kadhaa kwamba "mwambieni Magufuli asicheze na uvhabguzi huu".
Magufuli akacheza nao. Kiko wapi Sasa?
Jamani Lisu kiboko
Aliye mpiga risasi lissu kashatangulia mbinguni ,aliyepigwa Bado anakula mema ya duniani
Hao utakaowasifu wewe nakuhakikishia wanajua kuwa Lisu ni Kiboko.
Kwenye nchi hii nakuhakikishia watu Aina ya Lisu hawafiki 10. Tena hiyo 10 ni wengi. Labda uwe mnafiki tuu.
Kipindi cha awamu ya tano ndio kilidhihirisha kwenye hii nchi watu wasiowaoga hawafiki 10 Kati ya milioni 60.
Hata jpm aamshwe sasa hivi atakubaliana na Mimi.
Hata makomando wenyewe wa nchi hii wanajua kuwa Lisu ni Kiboko. Tukiacha ushabiki
Mkuu tutake radhi hiyo takwimu umeipataje?