Ila kuna wazazi wana akili finyu, Vyuo vyote Afrika na unampeleka mtoto Sudan akasome?

Nshomile wa Muleba

JF-Expert Member
Dec 5, 2015
2,165
5,551
Jambo Jambo?

Katika ujio wa hao Watanzania nchini Sudan, kuna wengine ni wanafunzi wa vyuo nchini sudan.

Wapo wafanyabiashara, Wenye ndugu kule, diplomatic officials

Kilichonishangaza zaidi ni idadi ya wanafunzi wanaosoma hapo sudan, Sasa mimi najiuliza kwa maana chokochoko za Vita hizi hazijaanza leo kutokana na historia ya sudan na kutengana kwake.

Hivi kweli katika vyuo vyote Afrika, KENYA, UGANDA, ETHOPIA, ERITREA, SOUTH AFRICA, MISRI, na etc.

Kweli mzazi unampeleka mtoto sudan

Haya ona sasa wengine bado semester mmoja wamalize wamerudi.

Bora wale wa UKRAINE hawakujua na tiyari nchi ya Poland imeshafanya process za wao kusoma poland.

Hawa wa sudan je?

Ila wazazi wengi aiseeee

IMG_5624.jpg


Picha: Mmoja wa wanafunzi aliyekuwa anasoma sudan

POLENI
NB: HOJA YANGU HAIJALENGA DINI WALA KUIDHARAU ELIMU YA SUDAN, BALI NI KUONA MZAZI ANAMPELEKA MWANAE AMBAKO HAKUNA AMANI NA UGAIDI NI MKUBWA

(Wafia dini nendeni jukwaa la dini)


Inshomile
Kagera, Tanzania
 
Jambo Jambo?

Katika ujio wa hao Watanzania nchini Sudan, kuna wengine ni wanafunzi wa vyuo nchini sudan.

Wapo wafanyabiashara,Wenye ndugu kule, diplomatic officials

Kilichonishangaza zaidi ni idadi ya wanafunzi wanaosoma hapo sudan, Sasa mimi najiuliza kwa maana chokochoko za Vita hizi hazijaanza leo kutokana na historia ya sudan na kutengana kwake.

Hivi kweli katika vyuo vyote Afrika, KENYA, UGANDA, ETHOPIA, ERITREA, SOUTH AFRICA, MISRI, na etc.

Kweli mzazi unampeleka mtoto sudan

Haya ona sasa wengine bado semester mmoja wamalize wamerudi.

Bora wale wa UKRAINE hawakujua na tiyari nchi ya Poland imeshafanya process za wao kusoma poland.

Hawa wa sudan je?

Ila wazazi wengi aiseeee

View attachment 2602037

Picha: Mmoja wa wanafunzi aliyekuwa anasoma sudan

POLENI

Inshomile
Kagera, Tanzania
Wewe ni mshamba unatuangusha sisi wahaya tuonekane washamba , limbukeni watu wanao penda sifa tu, Sudan has best and cheap universities of medicine pharmacy petroleum engineering, civil engineering and above all give state scholarship for foreign students, unakuta degree in human madicine ni $1500 cheaper hata kuliko udsm na wana facilities nzuri nk,
 
Wewe ni mshamba unatuangusha sisi wahaya tuonekane washamba , limbukeni watu wanao penda sifa tu, Sudan has best and cheap universities of medicine pharmacy petroleum engineering, civil engineering and above all give state scholarship for foreign students, unakuta degree in human madicine ni $1500 cheaper hata kuliko udsm na wana facilities nzuri nk,
Asante Kwa ufafanuzi mkuu
 
Jambo Jambo?

Katika ujio wa hao Watanzania nchini Sudan, kuna wengine ni wanafunzi wa vyuo nchini sudan.

Wapo wafanyabiashara, Wenye ndugu kule, diplomatic officials

Kilichonishangaza zaidi ni idadi ya wanafunzi wanaosoma hapo sudan, Sasa mimi najiuliza kwa maana chokochoko za Vita hizi hazijaanza leo kutokana na historia ya sudan na kutengana kwake.

Hivi kweli katika vyuo vyote Afrika, KENYA, UGANDA, ETHOPIA, ERITREA, SOUTH AFRICA, MISRI, na etc.

Kweli mzazi unampeleka mtoto sudan

Haya ona sasa wengine bado semester mmoja wamalize wamerudi.

Bora wale wa UKRAINE hawakujua na tiyari nchi ya Poland imeshafanya process za wao kusoma poland.

Hawa wa sudan je?

Ila wazazi wengi aiseeee

View attachment 2602037

Picha: Mmoja wa wanafunzi aliyekuwa anasoma sudan

POLENI

Inshomile
Kagera, Tanzania
Mkodomi unafeli sana
 
Jambo Jambo?

Katika ujio wa hao Watanzania nchini Sudan, kuna wengine ni wanafunzi wa vyuo nchini sudan.

Wapo wafanyabiashara, Wenye ndugu kule, diplomatic officials

Kilichonishangaza zaidi ni idadi ya wanafunzi wanaosoma hapo sudan, Sasa mimi najiuliza kwa maana chokochoko za Vita hizi hazijaanza leo kutokana na historia ya sudan na kutengana kwake.

Hivi kweli katika vyuo vyote Afrika, KENYA, UGANDA, ETHOPIA, ERITREA, SOUTH AFRICA, MISRI, na etc.

Kweli mzazi unampeleka mtoto sudan

Haya ona sasa wengine bado semester mmoja wamalize wamerudi.

Bora wale wa UKRAINE hawakujua na tiyari nchi ya Poland imeshafanya process za wao kusoma poland.

Hawa wa sudan je?

Ila wazazi wengi aiseeee

View attachment 2602037

Picha: Mmoja wa wanafunzi aliyekuwa anasoma sudan

POLENI

Inshomile
Kagera, Tanzania
Vitabu vimeandika tafuteni elimu hata Hadi China,wewe unashangaa Sudani na ungeona wanaosomea Afghanistan si ungefariki kabisa🤪
 
Hapana Sudan ni hapana pengine sababu nu nchi ya Kiislam! Au eti nitoke Tz nikatalii Sudan?
Zababu zako ni za watu walio kosa exposure, kazaliwa ikwiriri kasomea kkwiriri kaoa ikwiriri kafanya kazi ikwiriri watu wanamna hiyo wanakua na shallow understanding of world affair, lazima watawaliwe na CCM ndoa inao penda wajinga kama nyie.
 
Jambo Jambo?

Katika ujio wa hao Watanzania nchini Sudan, kuna wengine ni wanafunzi wa vyuo nchini sudan.

Wapo wafanyabiashara, Wenye ndugu kule, diplomatic officials

Kilichonishangaza zaidi ni idadi ya wanafunzi wanaosoma hapo sudan, Sasa mimi najiuliza kwa maana chokochoko za Vita hizi hazijaanza leo kutokana na historia ya sudan na kutengana kwake.

Hivi kweli katika vyuo vyote Afrika, KENYA, UGANDA, ETHOPIA, ERITREA, SOUTH AFRICA, MISRI, na etc.

Kweli mzazi unampeleka mtoto sudan

Haya ona sasa wengine bado semester mmoja wamalize wamerudi.

Bora wale wa UKRAINE hawakujua na tiyari nchi ya Poland imeshafanya process za wao kusoma poland.

Hawa wa sudan je?

Ila wazazi wengi aiseeee

View attachment 2602037

Picha: Mmoja wa wanafunzi aliyekuwa anasoma sudan

POLENI

Inshomile
Kagera, Tanzania
Wanaosali ijumaa inawahusu!!!
 
Back
Top Bottom