The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,763
Inakuwaje wanajamvi!
Kama mnakumba kampeni ya uchaguzi mkuu 2010 kuna mwanasiasa fulani jukwaani tena live mubashara kwenye TV alimtukana wazi wazi mama mzazi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Kikwete eti hana adabu kwa kumlea vibaya Kikwete.
Cha kushangaza Jakaya alimpotezea wala hakushughulika naye.
Inaonekana Jakaya alikuwa peace sana hadi vijana wa TISS labda walikuwa wanamrukia na kupanda mabegani.
Wakati huo ndio neno kuchakachua limepamba moto.
Best friend of Jesus!
Kama mnakumba kampeni ya uchaguzi mkuu 2010 kuna mwanasiasa fulani jukwaani tena live mubashara kwenye TV alimtukana wazi wazi mama mzazi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Kikwete eti hana adabu kwa kumlea vibaya Kikwete.
Cha kushangaza Jakaya alimpotezea wala hakushughulika naye.
Inaonekana Jakaya alikuwa peace sana hadi vijana wa TISS labda walikuwa wanamrukia na kupanda mabegani.
Wakati huo ndio neno kuchakachua limepamba moto.
Best friend of Jesus!