Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Haki ikipatikana yatakuja malalamiko mengine.Haki hakuna
Binadamu huacha kulalamika akiwa tayari keshakata pumzi.
Haki ikipatikana yatakuja malalamiko mengine.Haki hakuna
CHADEMA wamekuwa washindani wa CCM mara tu baada ya NCCR - MAGEUZI kuachia hiyo nafasi na kumfanya Mbowe kuwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni (KUB) na CHADEMA kuwa wapinzani wazoefu - nafasi inayowahusu for the next 50 years!Aisee haya mambo eti ya nunua nunua kwanza yanaikuza bure Chadema, unajikuta umenunua garasa halafu linakuwa replaced na CHUMA!
Emb anzia Momba, Sumbawanga mjini, Mbeya mjini, Iringa mjini, Njombe mjini, Bikoba mjini, Mara yoteee, Nyamagana, Shinyanga, Arusha mjini, Karatu,Hai, Rombo, Handeni, Mlimba, Mikumi yani hadi unashindwa umtaje nani na nani umuache. Ni full makamanda
Ifikie tu hatua CCM ikubali kuwa sasa ina mshindani halali wa Jamhuri ya muungano na ijifunze namna ya kuishi naye. Tukubali tu kuwa zama za CCM ndiyo kila kitu zimepitwa na wakati! Chama tangia 2005 kinakuhenyesha na kila siku kinaongeza dozi mara dufu bado hukubali tu?
Yani haitokaa itokee tena kudhoofika Chadema! Huo ni ukweli na utabaki hivyo.
Hakika.Inabidi tuwasaidie CDM wasiibiwe ushindi mwaka huu sio kazi rahisi inahitaji mawe mengi.
Mkuu tukiamasishana Siku ya kuhesabu kura tusiamamie ipasavyo magu hatoboi.kama Edo alikuwa hana Sera zaidi ya peopleees peopleess power na akampiga chini magu 2015,ije kuwa huyu mwamba anaetoa elimu ambayo wananchi wanataka kuisikia,yaan magu SAA NNE asubuhi anaachia ikulu..Magufuli hata akirejea madarakani lakini kitu ambacho sasa apende asipende lazima akubali ni kuwa kuna vyama hawezi kuviua yeye na siku akifa vitakuwepo kwenye msiba wake kumzika.
Aache kabisa kupoteza muda wake kuwanyanyasa wapinzani kwani ajue kuwa kama atakuwa amerejea madarakani ni kwa hisani ya tume yake na sio kwa ridhaa ya wananchi.
Magufuli amepoteza sehemu kubwa ya muda wake katika muhula wake huu wa kwanza kujaribu kuua upinzani lakini bila mafanikio hali ambayo imemfanya asifanye chochote cha maana na kuwaacha asilimia 65 ya wananchi wakiwa hoi kimaisha.