Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Ndugu wana jamii nadhani mnakumbuka punde tulikua na vurugu zawakulima na wafugaji,Hali sio shwari tena, leo mabomu yanarindima wananchi wa ikwiriri wanaandamana wakikataa mitambo ya mafuta ya kuzalishia umeme isiondolewe.Madai yao hayana mantiki,wanataka yabaki kama emergency ingawa tunatumia umeme wa gesi! inatishia amani