chakula cha watu, kitu K inalipa jamani!Parapaapaaaaaaa. !!!! Akachapekazi tu
Learned brother unateseka kwani??Ofisi ya DAS Ilala iko wapi waungwana?ya kiofisi nahitaji kwenda kuonana na Mkuu huyo. Ha ha ha ha ha ha
Hivi kwa nini Vyama visivyo madarakani havipingi vifungu hivi kinzani kwa kupigania tume huru ya UCHAGUZI????? Fungua kesi nyingi iwezekanavyo regardless kukwamishwa.... Tengeni bajeti ya kutosha katika eneo hili la kuendesha kesi, kwa mahakama hizi hizi zaoHuyo ndo kada kwa mujibu Wa sheria za uchaguzi Wa serikali za mitaa yeye ndo mrufani, yaani vyama vya ACT, CHADEMA nk wasiporidhika wanakata rufaa kwake.je ataweza kutenda haki wakati ni kada?
Press za saa8 usiku kama mwanga ndo matatizo yake hayaParapaapaaaaaaa. !!!! Akachapekazi tu
Nilidhani ni kazi za kuajiliwa... sasa mtu anagawiwaje kazi za serikali inabaki kwa waajiri wenyewe..Kwani hivi vyeo vya kiutendaji kama DAS na DED na vyenyewe vinagawiwa kwa makada, hatari sana..
MREMBO HUYOO HALAFU KIPINDI HIKI MABINTI WANAOWAKA WEEEENGIII HAYA WEEE!! NA WAMETEULIWA SAA NANE USIKUPress za saa8 usiku kama mwanga ndo matatizo yake haya
ccm mbele kwa mbele, hongera sana dada kukitumikia chama kwa uaminifu, kachape kazi, usimwangushe rais wetu, jpm