Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,502
Nafikiri gazeti lilikuwa straight to the point kuwa ni biashara gani analink nayo. Si kazi tena ya gazeti kutoa utetezi bali ni hizo link kujitetea kwamba hazipo.
Tayari team Kikwete imeshakanusha. Sasa ni wajibu wa gazeti kuja na ushahidi wa madai yao.
I like how aggressive team Kikwete is.